‘If you can’t fight them, join them’ (2)
Sehemu iliyopita mwandishi wa makala hii alirejea hadithi iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kuhusu msichana mzuri aliyekuwa akichumbiwa. Akaeleza namna Mwalimu alivyohakikisha hageuki jiwe katika kuijenga nchi kwenye misingi ya kijamaa. Hii ni sehemu ya pili na ya mwisho ya makala hii. Endelea… Basi, kwa ustaarabu wa wenzetu kule ‘majuu’, mtu…