Author: Jamhuri
Balotelli aichanganya Italia
…Ageuka pia kuwa shujaa barani Afrika
Mapema mwaka huu, Mario Balotelli aliachwa katika timu ya taifa ya Italia (Azzurri) iliyocheza na Marekani Jumamosi, Februari 29, lakini Alhamisi iliyopita ghafla aliichanganya Italia alipoipeleka kucheza mechi ya fainali za Euro 2012 hapo juzi, Jumapili, dhidi ya Hispania mjini hapa.
Kero ya ombaomba wa London
Kwa asili nachukia kuomba bila sababu na nilijengewa tabia hiyo na wazazi waliotumia vyema nguvu zao kujitegemea na kututegemeza.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
Washington: Utumwa unanik
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Waislamu wenye akili hawa hapa
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa miongoni mwa wale tuliotoa wito kwa wapendwa ndugu zetu Waislamu, kuwapuuza kina Sheikh Ponda na mwenzake Kundecha – ambao kila mara wamekuwa vinara wa migogoro na kuibua mambo yasiyo na tija kwa Waislamu na Watanzania.
Habari mpya
- Rais Mwinyi ateua ma – RC na Naibu Makatibu Wakuu
- Wanafunzi 40 wateuliwa kuwa mabalozi wa utalii
- Mdemu awataka wanufaika wa mikopo wa WDF kurejesha kwa wakati
- Kwa heri John Sabi Nzuryo, Jamhuri Media itakukumbuka
- Kurasa za Gazeti la Jamhuri Desemba 16 -22, 2025
- Makamu wa Rais awasili Ruvuma kushiriki mazishi ya Jenista Mhagama
- Rais Mwinyi ahudhuria Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za binadamu Z’bar
- Wakazi wa ndani wa taasisi za umma wapata mafunzo ya ukaguzi wa ESG
- Soma Gazeti la Jamhuri Desemba 16 – 22, 2025
- Mamia ya wanachama ACT Wazalendo wampokea Othman Masoud Pemba
- RITA kutoa cheti cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tu
- RC Dodoma awahimiza wahitimu kujiajiri kupitia ujuzi waliopata
- Makamu wa Rais amuaga Jenista Mhagama
- Idadi ya waliokufa katika mafuriko Indonesia yafikia 1000
- Rais Samia: Marehemu Jenista Mhagama alikuwa mlezi wa viongozi wengi