Author: Jamhuri
Balotelli aichanganya Italia
…Ageuka pia kuwa shujaa barani Afrika
Mapema mwaka huu, Mario Balotelli aliachwa katika timu ya taifa ya Italia (Azzurri) iliyocheza na Marekani Jumamosi, Februari 29, lakini Alhamisi iliyopita ghafla aliichanganya Italia alipoipeleka kucheza mechi ya fainali za Euro 2012 hapo juzi, Jumapili, dhidi ya Hispania mjini hapa.
Kero ya ombaomba wa London
Kwa asili nachukia kuomba bila sababu na nilijengewa tabia hiyo na wazazi waliotumia vyema nguvu zao kujitegemea na kututegemeza.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
Washington: Utumwa unanik
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Waislamu wenye akili hawa hapa
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa miongoni mwa wale tuliotoa wito kwa wapendwa ndugu zetu Waislamu, kuwapuuza kina Sheikh Ponda na mwenzake Kundecha – ambao kila mara wamekuwa vinara wa migogoro na kuibua mambo yasiyo na tija kwa Waislamu na Watanzania.
Habari mpya
- Baraza Maalumu la kumchagua Papa kuanza leo Vatican
- Marekani, China kuanza mazungumzo kuhusu vita vya kibiashara
- India yaishambulia Pakistan kwa makombora
- Mvua yaleta maafa Moshi, watatu wafariki kwa kuagukiwa na nyumba wakiwa wamelala
- Mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwanaye na kumtupa chooni Iringa
- Rais Samia ateua, ahamisha viongozi mbalimbali
- BMT yatoa neno kuelekea tuzo za michezo
- Kongamano la kwanza la Nishati Safi ya kupikia Afrika Mashariki lafanyika
- Mahakama yaamuru Lissu afikishwe mahakamani Mei 19, mwaka huu
- Waziri Mavunde atangaza kiama kwa kampuni 95 za uchimbaji madini
- REA yapongezwa na Jeshi la Magereza kwa uhamasishaji nishati safi
- Baba na mwana wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kusafirisha bangi kilo 398 Tabora
- Matukio mbalimbali Waziri Mkuu akiwa bungeni Dodoma
- Waziri Ulega aomba bajeti ya trilioni 2.280, akitoa onyo kali kwa makandarasi waliopo nchini
- Waziri Mavunde amzawadia mwandishi bora sekta ya madini leseni ya utafiti