Author: Jamhuri
Balotelli aichanganya Italia
…Ageuka pia kuwa shujaa barani Afrika
Mapema mwaka huu, Mario Balotelli aliachwa katika timu ya taifa ya Italia (Azzurri) iliyocheza na Marekani Jumamosi, Februari 29, lakini Alhamisi iliyopita ghafla aliichanganya Italia alipoipeleka kucheza mechi ya fainali za Euro 2012 hapo juzi, Jumapili, dhidi ya Hispania mjini hapa.
Kero ya ombaomba wa London
Kwa asili nachukia kuomba bila sababu na nilijengewa tabia hiyo na wazazi waliotumia vyema nguvu zao kujitegemea na kututegemeza.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
Washington: Utumwa unanik
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Waislamu wenye akili hawa hapa
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa miongoni mwa wale tuliotoa wito kwa wapendwa ndugu zetu Waislamu, kuwapuuza kina Sheikh Ponda na mwenzake Kundecha – ambao kila mara wamekuwa vinara wa migogoro na kuibua mambo yasiyo na tija kwa Waislamu na Watanzania.
- Mkuu wa Mkoa Songwe awataka wananchi, kamati ya ulinzi na usalama kuwa macho na miradi ya umwagiliaji
- Dk Biteko asema mgombea mwenza ni chaguo sahihi na mwalimu wa wengi
- Dk Samia aahidi kujenga stendi ya kisasa ya mabasi Mafinga
- Nchimbi ndani ya Katoro, Geita awanadi wagombea
- Polisi yamsaka mwanamke aliyemfanyia ukatili mtoto
Habari mpya
- Mkuu wa Mkoa Songwe awataka wananchi, kamati ya ulinzi na usalama kuwa macho na miradi ya umwagiliaji
- Dk Biteko asema mgombea mwenza ni chaguo sahihi na mwalimu wa wengi
- Dk Samia aahidi kujenga stendi ya kisasa ya mabasi Mafinga
- Nchimbi ndani ya Katoro, Geita awanadi wagombea
- Polisi yamsaka mwanamke aliyemfanyia ukatili mtoto
- Rais Samia aahidi kuifungua kiuchumi Dodoma, Moro na Songwe
- Mahakama Uvinza yamtia hatiani mtendaji kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa
- Dk Samia akiomba kura kwa wananchi Rungwe
- Mganga atuhumiwa kumuua mteja na kumfukia kwenye tanuri la mkaa Mlandizi
- Polisi anayedaiwa kubaka mwanafunzi afukuzwa kazi
- Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara Mbeya
- Angalia Dk Samia akicheza mziki na wanachama Mbeya
- Muliro akabidhi askari wa kike bendera kwa niaba ya IGP kwenda Scotland
- RC Kunenge- Mageuzi ya biashara na uwekezaji yachangia kupaa kwa Manispaa ya Mji Kibaha
- Mwiba Holdings Ltd yasaidia watoto 53 kufanyiwa upasuaji Meatu