Author: Jamhuri
Bila reli, barabara zitakufa
Wizara ya Ujenzi, kama zilivyo wizara nyingine, ni miongoni mwa wizara chache ambazo ni mihimili ya maendeleo ya taifa letu.
Tanzania, tofauti na makoloni mengine, iliachwa na watawala dhalimu ikiwa haina barabara, si za lami tu, bali hata za changarawe.
Magufuli moto mkali
*Atangaza kimbunga kwa wavamizi wa barabara
*Afumua mtandao wa ufisadi, gharama ujenzi zashuka
*Flyovers kuanza kujengwa kwa kasi jijini D’ Salaam
Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ametangaza kiama dhidi ya wavamizi wa hifadhi za barabara nchini, huku akifanikisha kushusha gharama za ujenzi kutoka Sh bilioni 1.8 kwa kilomita moja hadi Sh milioni 700.
Hospitali ya Jeshi Lugalo kupandishwa daraja
Serikali imeaanza mipango ya kuipandisha Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Lugalo, kuwa Hospitali ya Rufaa, Bunge limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Mpango wa Maendeleo na Makadirio…
Lundenga: Miss Tanzania imeitangaza nchi
Kwa muda wa miaka 18 iliyopita, mashindano ya Mrembo wa Tanzania yamekuza utamaduni, utalii na uwekezaji wa kigeni. Si hilo tu, mashindano haya yamewapa fursa mpya ya kujitambua wasichana Watanzania, anasema mwandaaji wa mashindano hayo, Hashim Lundenga.
Chadema sasa wadai rasmi Serikali ya Tanganyika
Hii ni sehemu ya maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Tundu Lissu kuhusu Mpango wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) kwa mwaka wa fedha wa 2012/2013. Endelea
Katika maoni yetu kuhusu Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ilionyesha jinsi ambavyo “tafsiri hii mpya ya Makubaliano ya Muungano na Katiba ya Jamhuri ya Muungano imetiliwa nguvu kubwa na Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambayo imeipa Zanzibar nafasi na ushawishi mkubwa katika utungaji wa Katiba Mpya.”
- Wananchi Ruvuma waiomba Serikali kuimarisha miundombinu ya barabara
- Makamu wa Rais Ndejembi atoa maelekezo kuhusu bei ya sementi
- Jubilee Life Insurance yazindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha
- PBPA Yawawezesha Mama Lishe Kurasini kuhamia Nishati Safi ya kupikia
- Serikali yaimarisha mikakati kukuza sekta ya viwanda
Habari mpya
- Wananchi Ruvuma waiomba Serikali kuimarisha miundombinu ya barabara
- Makamu wa Rais Ndejembi atoa maelekezo kuhusu bei ya sementi
- Jubilee Life Insurance yazindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha
- PBPA Yawawezesha Mama Lishe Kurasini kuhamia Nishati Safi ya kupikia
- Serikali yaimarisha mikakati kukuza sekta ya viwanda
- Ndembeji Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kongamano la Tano la Uchumi wa Bluu
- NMBF yafungua maombi ya ‘Nuru ‘Yangu’
- Serikali yaimarisha miundombinu ya umeme Igunga – Salome
- Mawasilisho 294 kupigiwa kura Samia kalamu Awards 2026.
- Makamu wa Rais ataka bei ya saruji ishuke haraka
- Sekta binafsi injini ya Tanzania kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
- TANESCO Ubungo yawabaini wateja waliochepusha umeme kupitia vishoka
- FCC yawataka wafanyabiashara kuripoti bidhaa bandia
- Sumaye : Watanzania kukutana kuliombea Taifa
- Tanesco Ubungo yanasa waliojiunganishia Umeme kinyume na utaratibu