Author: Jamhuri
Balotelli aichanganya Italia
…Ageuka pia kuwa shujaa barani Afrika
Mapema mwaka huu, Mario Balotelli aliachwa katika timu ya taifa ya Italia (Azzurri) iliyocheza na Marekani Jumamosi, Februari 29, lakini Alhamisi iliyopita ghafla aliichanganya Italia alipoipeleka kucheza mechi ya fainali za Euro 2012 hapo juzi, Jumapili, dhidi ya Hispania mjini hapa.
Kero ya ombaomba wa London
Kwa asili nachukia kuomba bila sababu na nilijengewa tabia hiyo na wazazi waliotumia vyema nguvu zao kujitegemea na kututegemeza.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
Washington: Utumwa unanik
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Waislamu wenye akili hawa hapa
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa miongoni mwa wale tuliotoa wito kwa wapendwa ndugu zetu Waislamu, kuwapuuza kina Sheikh Ponda na mwenzake Kundecha – ambao kila mara wamekuwa vinara wa migogoro na kuibua mambo yasiyo na tija kwa Waislamu na Watanzania.
- Salome Makamba afunga maonyesho ya Nishati Expo 2026
- Wawili wakamatwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo
- Tanzania yapongezwa kwa utekelezaji wa mkakati wa PEN-PLUS katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
- Waziri Mkuu: Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia
- From representation to results: How President Samia is redefining women’s diplomacy in Africa
Habari mpya
- Salome Makamba afunga maonyesho ya Nishati Expo 2026
- Wawili wakamatwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo
- Tanzania yapongezwa kwa utekelezaji wa mkakati wa PEN-PLUS katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
- Waziri Mkuu: Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia
- From representation to results: How President Samia is redefining women’s diplomacy in Africa
- Rais Samia azindua huduma ya saratani KCMC, aahidi ushirikiano
- Bangu: Mfumo wa stakabadhi za ghala ni imara
- Africa Agri Expo Marks 10th Anniversary, Expands Focus on Innovation in Agriculture, Food and Livestock
- REA Zambia yafurahishwa na ubora wa miradi ya umeme Vijijini Tanzania
- MD Twange atoa rai kwa mameneja TANESCO kuongeza kasi kupambana na wizi wa miundombinu ya umeme
- Wiki ya Utumishi wa Umma yasogeza huduma za Taasisi za Umma karibu na wananchi
- Serikali yawakuna wabunge waimwagia sifa marekebisho ya kodi, ushuru na bidhaa
- Prof. Shemdoe : Maafisa utumishi waliokwamisha watumishi kupanda madaraja wachukuliwe hatua
- Wizara ya Nishati yaendelea kutumia nishati safi Expo kutoa elimu kwa wananchi
- FCC yaongeza uhamasishaji kuelekea Siku ya Udhibiti wa Bidhaa Bandia