Author: Jamhuri
Agizo alilotoa RC Tabora kwa ‘mchwa’ hawa watalitekeleza?
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa, amezitaka Halmashauri za Wilaya mkoani humo kuhakikisha hazipati hati chafu za ukaguzi wa fedha za serikali, vinginevyo wakurugenzi watendaji na watumishi katika ngazi hizo wasioweza kutekeleza agizo hilo waache kazi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia

Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Quotes
Washington: Utumwa unanikera
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania. Hebu…
Habari mpya
- John Mabagala azungumzia mchakato wa TCB usafirishaji Soko la Kahawa nchini
- Prof. Shemdoe awataka ma- RC kusimamia halmashauri ziwe na mipango madhubuti
- Nyamka : Wazee na waasisi ni nguzo muhimu CCM
- Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA
- Pwani yajipanga kupokea mwenge wa Uhuru Aprili 18
- Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma kukamilika 2026/27
- EACOP yasaidia fedha vikundi 16 kuinua uchumi Tanga
- Wazi Mkuu: Dk Samia ameandika historia isiyofutika
- Serikali yapokea hoja ya Dk Jafo ya ajira za ‘Part -Time’ kwa vijana
- Serikali yajipanga kuzifanyia ukarabati shule zote kongwe nchini – Prof. Shemdoe
- JOWUTA yashiriki kikao Mei Mosi, yataka ushirikishwaji zaidi wanahabari
- Wizara ya Mambo ya Nje kuandaa utaratibu wa kuvuna maarifa ya mabalozi wastaafu
- Vijana, wanawake wahamasishwa kurasimisha biashara
- Mpango wa Mkoa wa afya moja waandaliwa Tanga
- Wizara ya Fedha kuendelea kuimarisha sekta ya fedha

