Author: Jamhuri
Agizo alilotoa RC Tabora kwa ‘mchwa’ hawa watalitekeleza?
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa, amezitaka Halmashauri za Wilaya mkoani humo kuhakikisha hazipati hati chafu za ukaguzi wa fedha za serikali, vinginevyo wakurugenzi watendaji na watumishi katika ngazi hizo wasioweza kutekeleza agizo hilo waache kazi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia

Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Quotes
Washington: Utumwa unanikera
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania. Hebu…
- Wananchi Ruvuma waiomba Serikali kuimarisha miundombinu ya barabara
- Makamu wa Rais Ndejembi atoa maelekezo kuhusu bei ya sementi
- Jubilee Life Insurance yazindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha
- PBPA Yawawezesha Mama Lishe Kurasini kuhamia Nishati Safi ya kupikia
- Serikali yaimarisha mikakati kukuza sekta ya viwanda
Habari mpya
- Wananchi Ruvuma waiomba Serikali kuimarisha miundombinu ya barabara
- Makamu wa Rais Ndejembi atoa maelekezo kuhusu bei ya sementi
- Jubilee Life Insurance yazindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha
- PBPA Yawawezesha Mama Lishe Kurasini kuhamia Nishati Safi ya kupikia
- Serikali yaimarisha mikakati kukuza sekta ya viwanda
- Ndembeji Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kongamano la Tano la Uchumi wa Bluu
- NMBF yafungua maombi ya ‘Nuru ‘Yangu’
- Serikali yaimarisha miundombinu ya umeme Igunga – Salome
- Mawasilisho 294 kupigiwa kura Samia kalamu Awards 2026.
- Makamu wa Rais ataka bei ya saruji ishuke haraka
- Sekta binafsi injini ya Tanzania kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
- TANESCO Ubungo yawabaini wateja waliochepusha umeme kupitia vishoka
- FCC yawataka wafanyabiashara kuripoti bidhaa bandia
- Sumaye : Watanzania kukutana kuliombea Taifa
- Tanesco Ubungo yanasa waliojiunganishia Umeme kinyume na utaratibu

