Author: Jamhuri
Agizo alilotoa RC Tabora kwa ‘mchwa’ hawa watalitekeleza?
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa, amezitaka Halmashauri za Wilaya mkoani humo kuhakikisha hazipati hati chafu za ukaguzi wa fedha za serikali, vinginevyo wakurugenzi watendaji na watumishi katika ngazi hizo wasioweza kutekeleza agizo hilo waache kazi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia
Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Quotes
Washington: Utumwa unanikera
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania. Hebu…
Habari mpya
- Baraza Maalumu la kumchagua Papa kuanza leo Vatican
- Marekani, China kuanza mazungumzo kuhusu vita vya kibiashara
- India yaishambulia Pakistan kwa makombora
- Mvua yaleta maafa Moshi, watatu wafariki kwa kuagukiwa na nyumba wakiwa wamelala
- Mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwanaye na kumtupa chooni Iringa
- Rais Samia ateua, ahamisha viongozi mbalimbali
- BMT yatoa neno kuelekea tuzo za michezo
- Kongamano la kwanza la Nishati Safi ya kupikia Afrika Mashariki lafanyika
- Mahakama yaamuru Lissu afikishwe mahakamani Mei 19, mwaka huu
- Waziri Mavunde atangaza kiama kwa kampuni 95 za uchimbaji madini
- REA yapongezwa na Jeshi la Magereza kwa uhamasishaji nishati safi
- Baba na mwana wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kusafirisha bangi kilo 398 Tabora
- Matukio mbalimbali Waziri Mkuu akiwa bungeni Dodoma
- Waziri Ulega aomba bajeti ya trilioni 2.280, akitoa onyo kali kwa makandarasi waliopo nchini
- Waziri Mavunde amzawadia mwandishi bora sekta ya madini leseni ya utafiti