Author: Jamhuri
Agizo alilotoa RC Tabora kwa ‘mchwa’ hawa watalitekeleza?
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa, amezitaka Halmashauri za Wilaya mkoani humo kuhakikisha hazipati hati chafu za ukaguzi wa fedha za serikali, vinginevyo wakurugenzi watendaji na watumishi katika ngazi hizo wasioweza kutekeleza agizo hilo waache kazi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia
Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Quotes
Washington: Utumwa unanikera
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania. Hebu…
Habari mpya
- Dk Samia aahidi kujenga stendi ya kisasa ya mabasi Mafinga
- Nchimbi ndani ya Katoro, Geita awanadi wagombea
- Polisi yamsaka mwanamke aliyemfanyia ukatili mtoto
- Rais Samia aahidi kuifungua kiuchumi Dodoma, Moro na Songwe
- Mahakama Uvinza yamtia hatiani mtendaji kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa
- Dk Samia akiomba kura kwa wananchi Rungwe
- Mganga atuhumiwa kumuua mteja na kumfukia kwenye tanuri la mkaa Mlandizi
- Polisi anayedaiwa kubaka mwanafunzi afukuzwa kazi
- Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara Mbeya
- Angalia Dk Samia akicheza mziki na wanachama Mbeya
- Muliro akabidhi askari wa kike bendera kwa niaba ya IGP kwenda Scotland
- RC Kunenge- Mageuzi ya biashara na uwekezaji yachangia kupaa kwa Manispaa ya Mji Kibaha
- Mwiba Holdings Ltd yasaidia watoto 53 kufanyiwa upasuaji Meatu
- Dk Biteko amwakilisha Rais Samia mazishi ya hayati Askofu Shao
- TAKUKURU Tandahimba yaokoa 500,000 zilizochangwa na wazazi