Mafuriko Kilosa, wakazi 1400 waathirika, nyumba 351 zapata madhara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilosa Jumla ya watu 1404 wameathirika na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha katika Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro na nyumba 351 zimeingia maji pamoja na vyoo 368 vimebomoka. Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, kuwa kaya zilizoathirika ni 368 na nyumba 17 zimebomoka. Alisema kitongoji cha…