Wanawake sekta ya uvuvi Afrika watajwa kuwa na mchango mkubwa
Na Edward Kondela, JammhuriMedia, Dar es Salaam Imeelezwa kuwa wanawake wachakataji na wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi barani Afrika wana mchango mkubwa katika Sekta ya Uvuvi, hususan katika uchatakaji na kilimo cha mwani. Hayo yamebainishwa jijini Dar es Salaam na Afisa Uvuvi Mkuu kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bi. Jovice Mkuchu, wakati akifungua kikao…