Category: Habari Mpya
RC Chalamila atangaza kampeni ya upimaji afya bila malipo
-Asema kampeni hiyo ni ya siku 10 itaanza Juni 20-30,2024 -Abainisha kampeni hiyo inatarajia kuwafikia wananchi zaidi ya elfu kumi -Atoa rai kwa wakazi wa DSM kujitokeza kwa wingi kupima afya zao Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu…
Swissport kutoa gawio la bilioni 1.8/ -kwa wanahisa wake
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya Swissport inatarajia kutoa gawio la Sh. Bilioni 1.8 kwa wanachama wake baada ya kupata faida ya Sh. Bilioni 3.6 kwa mwaka 2023. Hayo yamebainishwa leo Juni 14, 2024 jijini Dar es…
TCRA : Idadi ya watumiaji simu janja imeongezeka
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi wa Huduma za Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka amesema kuwa kufikia machi 2024 Idadi ya watu ya watumiaji simu janja imeongezeka kufikia asilimia 32.59 kutoka asilimia 32.13…
RC Kunenge amemuapisha Magoti kuwa DC Kisarawe
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaji Abubakari Kunenge amemuapisha Petro Magoti (Juni 14) kuwa mkuu mpya wa Wilaya ya Kisarawe na kumuagiza kuhakikisha anaweka kipaumbele katika suala zima la ulinzi na usalama katika wilaya hiyo….
Dk Mpanngo aipongeza Wizara ya Maji kutekeleza mradi wa maji Same Mwanga – Korogwe
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amewapongeza viongozi wa Wizara ya Maji kwa kusimamia na kufanikisha vema utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Same -Mwanga – Korogwe….
Shia wafurahishwa na Serikali kutoa nafasi kutoa maoni kanuni za uchaguzi Serikali za Mitaa
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dodom Jumuiya ya Shia Inthna’ashariyyah Tanzania (T.I.C) imeipongeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa hatua yake ya kuwapa nafasi viongozi wa Dini na Watanzania kwa ujumla kutoa maoni yao kwenye…





