Category: Habari Mpya
ACT -Wazalendo : Serikali itekeleze ahadi uchaguzi Serikali za Mitaa
Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi yake ya kutunga sheria ya kuiwezesha Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kauli hiyo imetolewa na Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho, Isihaka Mchinjita kwenye mapokezi ya kumpongeza…
DC Shaka azitembelea familia zilizoathirika na mafuriko Kilosa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka amelazimika kutembea zaidi ya kilometa 5 ndani ya maji baada kuzungukwa wakiwa katika harakati za kusaidia kuokoa wananchi waliopata mafuriko kufuatia kujaa mto Miombo baada kupokea maji…
Prof. Elisante: Tanzania nchi ya kwanza Afrika kutumia TTS
Na Mary Gwera, Mahakama-Dodoma Mtendaji Mkuu Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel amesema Tanzania ndio nchi ya kwanza barani Afrika kutumia Mfumo wa Unukuzi na Tafsiri (TTS) mahakamani. Prof. Ole Gabriel aliyasema hayo tarehe 17 Machi, 2024 wakati Kamati…
TAWA : Ujangili wa tembo umepungua nchini
Tanzania imefanikiwa kudhibiti ujangili wa tembo kutokana na juhudi za miaka mingi iliyofanywa n Serikali kwa kushirikiana na vikosi mbalimbali, mashirika pamoja taasisi za ndani. Akizungumza wakati wa mafunzo kwa waandishi wa habari wa Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania…
Dk Biteko ashiriki misa takatifu ya kumwombea hayati Magufuli Chato
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anatekeleza kwa kasi kubwa misingi iliyowekwa na Hayati Magufuli 📌 Dkt. Samia ajenga Makumbusho ya Hayati Magufuli Chato 📌 Familia ya Magufuli, Mbunge Chato wamshukuru Rais Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….





