JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Muhimbili yaja na mpango wa dharura wa kuhudumia wanachama wa NHIF

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kufuatia baadhi ya Hospitali kusitisha huduma kwa wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kuanzia Machi 1, 2024, Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) umekuja na mpango wa dharura…

Chalamila : Wananchi jitokezeni kumuaga Rais wa Awamu ya Pili Hayati Mwinyi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Machi 01,2024 akiongea na vyombo vya habari Ofisini kwake Ilala Boma amewaomba wananchi hususani wakazi wa Mkoa huo kujitokeza kwa wingi katika barabara ambazo mwili huo utapita na uwanjani ambako…

Waziri Silaa abomoa ghorofa Mbezi Beach

Na Isri Mohamed Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesimamia zoezi la ubomoaji wa ghorofa moja lililopo kwenye eneo la kiwanja no. 424 Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. Waziri Silaa amesimamia zoezi hilo kwa lengo…

Saratani ya mapafu ugonjwa uliosababisha kifo cha mzee Mwinyi

Na Mohammed Sharksy,JamhuriMedia -SUZA Saratani ya mapafu ni aina ya saratani ambayo huanza katika sehemu yoyote ya mapafu. Kama inavyojulikana tayari, saratani ni hali ambayo husababisha mgawanyiko wa haraka na usioweza kudhibitiwa wa seli ambayo husababisha ukuaji wa tumors. Kwa…

BRELA, TMDA kuimarisha ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) leo Februari 29, 2024 wamekutana kwa ajili ya kujadiliana kuhusu mashirikiano baina ya Taasisi hizo mbili ili…