Category: Habari Mpya
Usambazaji dawa kwa kutumia ndege zisizokuwa na rubaini kufanyiwa majaribio
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema Serikali imekamilisha kuingiza vituo vyote kwenye mfumo wa kuhifadhi taarifa zote za vituo kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Taifa ili kuufanyia majaribio na pia kutazama gharama za…
Dk Mwinyi akutana na sekretarieti za CCM Mikoa na Wilaya Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na sekretarieti ya kamati maalum, sekretarieti za Mikoa na Wilaya CCM Zanzibar katika kikao chake cha kwanza…
TAKUKURU Temeke yasimamisha ujenzi wa kituo cha mafuta
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa Temeke imesimamisha ujenzi wa kituo cha mafuta uliokuwa unaendelea katika kiwanja namba P.18435 eneo la Mbagala Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam….
CCM yaitaka CHADEMA kuacha kigeugeu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka CHADEMA kuacha kigeugeu, na kudai kuwa hawajui wanachokitaka licha ya mswada wa sheria uliopitishwa bungeni kuwa na faida kubwa kwao na vyama vingine vya upinzani. Akizungumza na wana CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu…
Maadhimisho miaka 47 ya CCM, mbunge Cherehani atoa madawati 975 ya mil.63.3/-
Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Ushetu-Kahama Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani kupitia Ofisi ya mbunge ametoa madawati 975 yenye thamani ya Shilingi 63,375,000 ili kuimarisha sekta ya elimu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na mazingira mazuri ya…





