JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mndeme : Ajenda ya kutumia nishati safi ya kupikia ni uchumi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme amesema ajenda ya kutumia nishati safi ya kupikia ni uchumi kwani inaokoa muda wa kutafuta kuni na kujikita kwenye shughuli za…

Wananchi Kibosho waiomba Serikali kuwajengea vivuko vya kudumu

Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Kilimanjaro Wananchi wa Kata ya Kibosho,wilayani Moshi Mkoa wa Kilimanjaro,wameungana na wadau wa maendeleo kushiriki katika ujenzi wa daraja linalounganisha vijiji vitatu. Daraja hili litawezesha wakazi zaidi ya 6,000 kupata huduma za kijamii na kuwezesha watoto…

Rais Samia aridhia ombi la Msajili Hazina kuwa na siku maalum kutoa gawio

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu la kutenga siku maalum kila mwaka na kuwa siku ya Mashirika na Taasisi za…

Taasisi ya Mama Ongea na mwanao yaweka tabasamu kwa watoto wenye mahitaji maalumu

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es Salaam TAASISI ya Mama Ongea na Mwanao kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wametoa Baskeli za 250 kwa watoto wenye mahitaji maalumu (Walemavu) 250 ili kuwasaidia kutimiza ndoto zao za kupata elimu . Akizungumza na Waandishi…