Category: Habari Mpya
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba wabaini kiwanda bubu Arusha
Na Abel Paul,Jeshi la Polisi- Arusha Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba kanda ya kaskazini (TMDA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha iliendesha operesheni maalum ya kuwasaka watu wanaojihusisha na uzalishaji wa dawa bandia ambapo mamlaka hiyo…
Aliyehitimu udaktari HKMU na miaka 21 atoa siri
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert kairuki (HKMU), Ahlam Azam Mohamed, ametoa siri ya namna alivyofanikiwa kuhitimu akiwa na miaka…
Kamati ya siasa ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam yakagua miradi ya TANROAD
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya siasa ya Mkoa wa Dar es Salaam leo Novemba 30, 2023 imefanya ziara ya kukagua barabara zinazojengwa na kusimamiwa na TANROADS ikiwemo hiyo inayotoka Kibamba shule kuelekea Mpiji Magohe yenye urefu…
Laki tano wapima VVU kupitia mradi wa CDC/ PEPFA
………………………………………………. Zaidi ya watu laki tano wamepata huduma ya ushauri nasaha na kupima maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kupitia mradi wa CDC/ PEPFA afya hatua katika kipindi cha kuanzia Oktoba 2022 hadi Disemba 2023.Akizungumza wakati ya Kilele cha wiki ya…
Ofisi ya Rais- Utumishi yatembelewa na viongozi wa Serikali katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI
Mkurugenzi Msaidizi Anuai za Jamii na Mratibu wa VVU, UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukiza, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Mwanaamani Mtoo (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa ofisi hiyo…
Kamanda Mack awataka waandishi wa habari wasiwe wanyonge
Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Kamanda wa Jeshi la Polisi Tarime/Rorya ACP Mack Njera amewata waamdishi wa habari wasiwe wanyonge katika kutekeleza majukumu yao Amesema hayo kwenye mdahalo baina ya waandishi wa habari na Jeshi la Polisi juu ya ulinzi…





