Category: Habari Mpya
Rais Samia aokoa afya za wananchi zaidi ya 8000-Sofu
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan amewapunguzia mwendo wa Km.5 wananchi wa Kata ya Sofu kufuata huduma za afya kwenye maeneo mengine. Takribani milioni 200 zimekamikisha jengo la Zahanati Kata ya…
Rais Dk Samia amedhamiria kuwainua wanawake
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuwainua wanawake kiuchumi kwa kuweka msingi unaochochea mabadiliko yanayojielekeza kukua kiuchumi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,…




