Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 16, 2023
Habari Mpya
Majaliwa ashiriki maadhimisho ya Siku ya Chakula, Roma Italia
Jamhuri
Comments Off
on Majaliwa ashiriki maadhimisho ya Siku ya Chakula, Roma Italia
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa ya Chakula na Kilimo (FAO) Dkt. Qu Dongyu alipowasili kwenye makao makuu wa shirika hilo kushiriki maadhimisho ya siku ya chakula duniani na miaka 78 tangu kuanzishwa kwa shirika hilo, Rome, Italia Oktoba 16, 2023. Mheshimiwa Majaliwa anamuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa Jukwaa la Kimataifa la Chakula Duniani litakalofanyika makao makuu ya FAO kuanzia Oktoba 16, 2023 hadi Oktoba 20, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika mkutano wa maadhimisho ya siku ya chakula duniani ya Rome, yanayofanyika katika Shirika la Umoja wa Mataifa ya Chakula na Kilimo (FAO) Italia Oktoba 16, 2023. Mheshimiwa Majaliwa anamuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa Jukwaa la Kimataifa la Chakula Duniani litakalofanyika makao makuu ya FAO kuanzia Oktoba 16, 2023 hadi Oktoba 20, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post Views:
204
Previous Post
Rais Samia azindua daraja la Msingi Mkalama mkoani Singida
Next Post
Serikali yakanusha uvumi kuhusu uwepo wa kiwanda cha kutengeneza mayai Goba
Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi wa vivutio vipya vya kujazia gesi kwenye magari CNG
Rais wa Benki ya AfDB awasili nchini
Ujio wa marais 25, barabara hizi kufungwa kwa muda, bodaboda marufuku mjini
Rais wa Sierra Leone atua Dar
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Habari mpya
Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi wa vivutio vipya vya kujazia gesi kwenye magari CNG
Rais wa Benki ya AfDB awasili nchini
Ujio wa marais 25, barabara hizi kufungwa kwa muda, bodaboda marufuku mjini
Rais wa Sierra Leone atua Dar
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Wakuu wa nchi 25 kushiriki mkutano wa nishati Afrika
JK aipa PPAA changamoto kuokoa fedha za Serikaki katika miradi
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni
Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
Waziri Kombo akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Czech
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika