Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa wakati akikagua Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa wakati wakivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa Daraja la Msingi lililopo Wilayani Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa Daraja la Msingi lililopo Wilayani Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na viongozi mara baada ya kufungua Daraja la Msingi lililopo Wilayani Mkalama katika muendelezo wa ziara yake Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023 Shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili katika eneo la Mkutano wa hadhara pembezoni mwa Daraja la Msingi, Wilayani Mkalama katika muendelezo wa ziara yake Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023 Taswira ya Daraja la Msingi lenye urefu wa Mita 100, lililopo katika Kijiji cha Msingi, Mkalama Mkoani Singida. Daraja hilo limezinduliwa Rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 16 Oktoba, 2023 Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi waliohudhuria tukio la ufunguzi wa Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023 Post Views: 51 Post navigation Benki Kuu yatoa kanuni za maduka ya kubadilisha fedha za kigeni za mwaka 2023 Majaliwa ashiriki maadhimisho ya Siku ya Chakula, Roma Italia