JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TMDA iongeze nguvu kudhibiti bidhaa feki za dawa zinazoingia nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI Stanslaus Nyongo ameitaka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kuongeza nguvu ya kudhibiti bidhaa feki za dawa zinazoingia nchini Tanzania. Mwenyekiti…

Wadau wa habari waomba uundwaji wa kanuni za habari usipite mwezi Oktoba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Wadau wa habari wamesema, baada ya Bunge kupitisha marekebisho ya sheria ya habari, kinachofuata sasa ni kuomba fursa ya kukutana na serikali ili kupendekeza mambo gani yaingie kwenye kanuni. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Sendeka awaonya vijana kutojiingiza kwenye uhaini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mbunge wa Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, amewaonya vijana nchini kutojiingiza kwenye uhaini na pia wasiunge mkono maandamano ya kupinga Serikali kupitia mitandao ya kijamii. Ole Sendeka akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani wa…

RC Kunenge ameziagiza Halmashauri kuandaa mikakati itakayosadia kuongeza mapato

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani,alhaj Abubakar Kunenge amezielekeza Halmashauri za mkoa huo kuandaa mikakati thabiti itakayoziwezesha kuongeza ukusanyaji mapato ili kuisaidia serikali kutoa huduma bora kwa wananchi wake. Kunenge ameyasema hayo kwenye kikao kazi maalum kilichofanyika…