JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Fisi aua mtu mmoja Mtwara, naye auawa

Wananchi wa Kijiji cha Chiwambo mkoani Mtwara wamemuua fisi wa silaha za jadi baada ya kuvamia nyumbani kwa mkazi mmoja wa kijiji hicho wakati wakiota moto ndani. Mwenyekiti wa Serikali ya kijiji hicho, Maimuna Mbaya amesema kuwa tukio hilo lilitokea…

Ajali ya ndege yaua watano Poland

Ndege ndogo imeanguka kwenye uwanja wa ndege karibu na mji mkuu wa Poland Warsaw, na kuua watu watano akiwemo rubani wake, maafisa wanasema. Watu wanane pia walijeruhiwa katika ajali hiyo, polisi wanasema. Watu kumi na watatu walikuwa wameripotiwa kujikinga kwenye…

Breaking News; Jecha afariki dunia

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), ambaye atakumbukwa kwa kufuta uchaguzi 2025 na kupata umaarufu, Jecha Salim Jecha amefariki dunia katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam. Marehemu akiwa Mwenyekiti wa Tume hiyo aliwahi kufuta matokeo…

Wafungwa 29 waliokiuka masharti ya parole kurudishwa gerezani

Wafungwa 29 wamekiuka masharti ya Mpango wa Parole na kurudishwa gerezani tokea Bodi ya Parole ilipoanza kusimamia utekelezaji wa sheria zake. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema hayo leo alipokuwa akizindua Bodi ya Taifa ya Parole….

TFRA kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka tani 586,604 hadi 800,000

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA),Dk.Stephan Ngailo amesema wanatarajia kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka tani 586,604 mwaka 2019/2020 hadi tani 800,000 Mwaka 2020/2025 ili kuongeza uzalishaji wenye tija. Aidha mpaka kufikia…

PPRA yajipanga kudhibiti urasimu kwenye ununuzi wa Umma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Serikali imepanga kufanya maboresho ya sheria ya ununuzi wa umma kukidhi mahitaji ya soko, kuondoa urasimu na kuongeza uwajibikaji kwa wanaojihusisha katika ununuzi wa umma. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Ununuzi wa Umma…