Category: Habari Mpya
Ridhiwani: Wanufaika wa TASAF watolewe kupitia mkutano wa vijiji
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo NAIBU Waziri Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewaagiza wataalam wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF ),kuhakikisha wanafanya uhakiki kwa kufuatilia wanufaika waliotolewa kimakosa kwenye mpango huo ili kupunguza…
PLASCO yaipa Muhimbili tanki la maji ujazo lita laki mbili
Kampuni ya PLASCO hivi karibuni itaikabidhi Hospitali ya Taifa Muhimbili msaada wa Tanki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita laki mbili ambalo thamani yake ni sh. mil.150 ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kampuni hiyo kurejesha kwa jamii. Meneja…
St Anne Marie kuwasomesha bure watakaofiwa na wazazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam imepongezwa kwa kuendelea kuwekeza kwenye miundombinu ya shule na kufanya vizuri kitaaluma mwaka hadi mwaka. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki…
DP World yamuibua askofu Ringia
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma. Kutokana na kuwepo maneno mengi ya kubeza Mkataba wa uwekezaji wa Bandari,hatimaye Askofu Wilbard Ringia wa Kanisa la Mizaituni miwili,Pentecoste Assemblies (MMPA) amejitokeza na kuwataka Watanzania kuwa watulivu na wenye kuheshimu mamlaka ili mambo mengine yaendelee….





