Category: Habari Mpya
hospitali ya Mirembe yapewa jina jipya
Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Serikali imesema kuwa ina mpango wa kubadili jina la Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe na kuwa Nationa Instute for Mental Health Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu katika semina maalum…
Ahukumiwa miaka 40 jela kwa kuzini na binti yake
Na Mwamvua Mwinyi,JAMHURI MEDIA Mahakama ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani imemuhukumu Fadhili Hai,(58), Mkazi wa Kwa Mfipa – Kibaha kifungo cha miaka 40, viboko 12 na kulipa fidia ya Sh milioni 04 baada ya kupatikana na hatia ya kuzini…
Wanafunzi waililia serikali kukikarabati chuo cha afya Songea
Na Cresensia Kapinga, Songea. Serikali kupitia Wizara ya Afya imeombwa kuona umuhimu wa kukifanyia ukarabati chuo cha Afya na Sayansi shirikishi cha Songea ambacho kipo katika hali mbaya kufuatia majengo ya chuo hicho kuwa chakavu. Wakiongea kwa nyakati tofauti baadhi…
Lisu ataka waliompiga risasi kuendelea kutafutwa
Na Dotto Kwilasa, JAMHURI MEDIA, Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA)Tundu Lissu amefika katika kituo kikuu cha Polisi Dodoma kuona gari alilokuwemo ndani yake wakati akishambuliwa September 7,2017 Jijini hapa eneo la Area D. Ikiwa imepita…
Serikali kutoa kifuta jasho waliovamia shamba la Utegi Rorya
Na Munir Shemweta, JamhuriMedia, Rorya Serikali itatoa fidia ya kifuta jasho cha maendelezo kwa wananchi watakaobainika kuvamia eneo la shamba la Utegi lililopo wilayani Rorya mkoani Mara baada ya kufanyiwa utambuzi. Eneo lililovamiwa lina ukubwa wa hekta 476.52 na kujumuisha vitongoji vya Kibinyongo, Mabatini,…
Mahakama Kanda ya Kigoma yajitathmini kiutendaji
Na Aidan Robert, JamhuriMedia, Kigoma Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma Mhe. Lameck Michael Mlacha ameongoza kikao cha Menejimenti katika Kanda hiyo kufanya tathmini ya utendaji kazi kwa robo mwaka ya Januari hadi Machi,2023 lengo likiwa…





