JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Fuvu la jemedari wa Wangoni kurejeshwa nchini

Na Albano Midelo,JamhuriMedia,Ruvuma Wizara ya Maliasili na Utalii imeunda Kamati ya Kitaifa inayosimamia urejeshwaji wa malikale zilizo nje ya nchi,likiwemo fuvu la Jemedari wa Wangoni Nduna Songea Mbano ambalo limehifadhiwa nchini Ujerumani. Jemedari wa wangoni Songea Mbano na wenzake mashujaa…

Rais Samia atengua umiliki wa eneo la AZANIA Investment Mapinga

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amebatilisha,na kutengua umiliki wa shamba namba 934 lililokuwa mali ya AZANIA Investment and management Services Ltd, kitongoji cha Kiembeni Kata ya Mapinga, Bagamoyo Mkoani Pwani ,lenye ukubwa…

NMB yapata ufadhili wa bil.572/- kutoka Jumuiya ya Ulaya

Benki ya NMB imepata mikopo miwili ya muda mrefu na dhamana ya kukopesha kutoka taasisi tatu za fedha za Jumuiya ya Ulaya (EU) yenye thamani ya sh. bilioni 572 kwa ajili kuendeleza sekta binafsi na kusaidia ujumuishaji wa kifedha nchini….

Majaliwa: Watanzania wajivunie kupatikana kwa mbegu mpya ya mchikichi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Watanzania wana kila sababu ya kutembea kifua mbele na kujivunia utafiti uliofanyika hapa nchini na kupata mbegu mpya ya michikichi ambayo imeonesha mafanikio makubwa. “Baada ya kukaa na kufanya tathmini ya zao la chikichi hapa…

TSB kuanzisha klabu shuleni za kutangaza zao la Mkonge

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tanga Katika kampeni yake ya kuhamasisha kilimo cha Mkonge nchini,Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), iko kwenye mchakato wa kuanzisha klabu za wanafunzi katika shule za sekondari kwa lengo kuwawezesha vijana kujiajiri kupitia kilimo hicho. Mkurugenzi Mkuu wa TSB,Saddy…