JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

NECTA yatangaza matokeo kidato cha nne, angalia hapa

Baraza la Mitihani NECTA limesitisha utaratibu wa kutangaza shule 10 bora na mwanafunzi bora wa matokeo ya kidato cha nne kwakuwa utaratibu huo hauna tija. Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam Kaimu Katibu Mtendaji wa Necta, Athumani Amasi wakati…

Vituo vitatu vya mitihani vyafungiwa

Baraza la Mitihani (NECTA) limezinfungua shule/vituo vitatu vya mitihani vilivyodhibitika kupanga na kufanya udanganyifu katika mitihani ya kidato cha nne (CSEE) 2022. Hayo yamebainishwa Kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA, Athumani Amasi wakati akitangaza matokeo ya kidato cha nne, amesema kuwa…

BREAKING NEWS: NECTA yawafutia matokeo wanafunzi wanne waliojibu matusi

Baraza la Mitihani (NECTA), limefuta matokeo yote ya watahiniwa wanne wa kidato cha nne mwaka 2022 walioandika lugha za matusi kwenye mitihani yao. Hayo yamesemwa leo Januari 29,2023 na Kaimu Katibu Mtendaji wa Necta, Athumani Amasi wakati akitangaza matokeo ya…

‘Wataalamu watakiwa kuitumia nchi kwa uwelezi na uzalendo’

Na Mwandishi Wetu,WHMTH,Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt.Jim Yonazi ametoa rai kwa wataalamu 79 waliohitimu mafunzo ya uendeshaji wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano yaliyotolewa na Kampuni ya HUAWEI Tanzania kuhakikisha wanalitumikia Taifa kwa…

REA na wadau kuunganisha nguvu usimamizi miradi ya umeme vijijini

Na Veronica Simba,Lindi Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Wadau wake mbalimbali mkoani Lindi, wamekubaliana kuunganisha nguvu katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na viwango vinavyotakiwa. Azimio hilo limefikiwa jana katika kikao kazi…