Category: Habari Mpya
Serikali yataja mambo sita ya kuondoa tatizo la ajira nchini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,Patrobas Katambi, ametaja mambo sita yanayofanywa na serikali ili kuondokana na tatizo la ajira nchini. Katambi ameyasema hayo leo Februari 3, 2023 bungeni alipokuwa akijibu swali…
DC Haniu aiagiza TUWASA kufanyakazi kwa bidii
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Jaffar Haniu, amefanya ziara katika chanzo cha maji Mbaka-Ikama kilichopo kata ya Itagata Barabara ya Katumba -Mwakaleli. Akiwa katika chanzo hicho Haniu ameuagiza uongozi wa Mamlaka ya Maji Tukuyu Mjini (TUWASA) kuharakisha upanuzi wa chanzo…
Rais Samia afanya uteuzi mwingine
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:- (1) Amemteua Bi Janet Zebedayo Mbene kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA). (2) Amemteua Bw. James Andilile Mwainyekule kuwa…
Serikali yalipa mil.40/- za kifuta jasho Kondoa Mjini
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imelipa kiasi cha shilingi milioni 40 ikiwa ni kifuta jasho/machozi kwa wananchi 198 wa Vijiji vya Chemchem, Tungufu, Tampori, Mulua na Iyoli wilayani Kondoa kutokana na kupata madhara yaliyosababishwa na wanyamapori. Hayo yamesemwa…
Majaliwa:Tanzania imepunguza maambukizi mapya ya VVU
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imefanikiwa kupunguza maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kwa asilimia 58 kutoka 130,000 mwaka 2003 hadi 54,000 mwaka 2021 kupitia Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na (PEPFAR). Amesema kuwa…
Polisi Pwani wamdaka aliyeua na kutoroka akutwa na shortgun
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani katika misako iliyofanya kwa kipindi cha mwezi mmoja wamefanikiwa kumkamata mtu mmoja( miaka 53) mwanaume, mkulima mkazi wa kijiji cha Ruvu stesheni,ambae anadaiwa kufanya mauaji, wilayani Kisarawe kisha kutorokea katika kijiji…





