Category: Habari Mpya
Rais Mwinyi:Kituo cha upandikizaji mimba Kairuki Green IVF kupunguza changamoto ya ugumba nchini
Na WAF-Dar es Salaam Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Kituo cha Huduma za Upandikizaji Mimba Kairuki Green IVF, Bunju kitatatua changamoto ya Watanzania kwenda nje ya nchi kwa gharama kubwa kufata huduma…
Wadakwa wakitengeneza pombe bandia Arusha
Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema katika kuhakikisha linalinda raia na mali zao pia katika kuunga juhudi za serikali ya kuhakikisha raia wake wanakuwa salama kiafya tarehe 04.februari 2023 muda wa saa…
Polisi Shinyanga yawadaka waliopora kwenye mradi wa SGR
Polisi Mkoani Shinyanga imefanikiwa kuwakamata watuhumiwa tisa wanaohisiwa kuhusika na tukio la ujambazi katika kambi ya Wachina wanaojenga mradi wa ujenzi wa Reli ya Mwendokasi (SGR) na kupora vitu mbalimbali ikiwemo bunduki na fedha mbalimbali za kigeni. Kamanda wa Jeshi…
Viongozi vyama vya siasa watakiwa kushindana kwa hoja
Viongozi wa vyama vya siasa nchini wameaswa kushirikiana ili waweze kujenga mazingira mazuri ya kufanya siasa zenye tija na siasa za kushindana kwa hoja. Hayo yameelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Profesa Ibrahim Lipumba leo Februari…
Rais Samia atoa suluhu mgogoro wa ardhi Kingale,Kondoa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan,ametoa Suluhu kwenye mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miongo mitatu dhidi ya eneo lenye ukubwa wa ekari 7,495.74 lililopo katika Vijiji vya Kata ya Kingale katika Halmashauri ya Wilaya…





