Category: Habari Mpya
‘Wataalamu watakiwa kuitumia nchi kwa uwelezi na uzalendo’
Na Mwandishi Wetu,WHMTH,Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt.Jim Yonazi ametoa rai kwa wataalamu 79 waliohitimu mafunzo ya uendeshaji wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano yaliyotolewa na Kampuni ya HUAWEI Tanzania kuhakikisha wanalitumikia Taifa kwa…
REA na wadau kuunganisha nguvu usimamizi miradi ya umeme vijijini
Na Veronica Simba,Lindi Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Wadau wake mbalimbali mkoani Lindi, wamekubaliana kuunganisha nguvu katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na viwango vinavyotakiwa. Azimio hilo limefikiwa jana katika kikao kazi…
TANESCO Dodoma yaweka wazi mafanikio yake
Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),Mkoa wa Dodoma Mhandisi Donasiano Shamba ameelezea mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kupitia Shirika la Umeme mkoa wa Dodoma haswa upande wa Utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini REA awamu ya tatu…
Operesheni yawakamata wazazi 763 Tunduru, 600 wajisalimisha Polisi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tunduru Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imeendesha operesheni maalumu ya nyumba kwa nyumba ya kuwasaka wazazi wasiopeleka watoto shule licha ya kuchaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu. Akizungumzia operesheni hiyo mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro, amesema…
Maganya aiasa Jumuiya ya Wazazi kuibua miradi mipya
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa,Fadhil Maganya ametoa rai kwa wanachama na viongozi wa Jumuiya hiyo kuhamasika kuanza kujenga ofisi za kisasa kwa ngazi zote ili kuimarisha Jumuiya. Aidha amewaasa kuhakikisha wanabuni vyanzo vya kiuchumi, miradi ya…
RC Dodoma ashauri kufuatilia nyenendo za wafungwa wanapomaliza vifungo
Na Mary Gwera,Mahakama,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Rosemary Senyamule ametoa ushauri kwa Jeshi la Magereza nchini kuona namna bora ya kufuatilia nyenendo za wafungwa pindi wamalizapo muda wa vifungo vyao kwa kushirikiana na Halmashauri kupitia Maafisa Ustawi wa Jamii ili…





