Habari MpyaChongolo ajionea kero ya ukosefu wa daraja Nguyami Jamhuri1 year ago1 year ago01 mins Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Daniel Chongolo akizungumza na wananchi wa Vijiji vya Mkwajuni na Ilalo mara baada ya kujionea kero kubwa ya kukosekana kwa daraja katika mto Nguyami linalounganisha vijiji hivyo viwili wilayani Gairo mkoa wa Morogoro.(Picha na CCM Makao Makuu) Mtoto Tefa Adua (4) akivuka mto Nguyami ambapo kwa karibia miaka minne sasa wananchi wa kijiji cha Ilalo wamekuwa wakipata tabu baada ya daraja la awali kuharibika. (Picha na Adam H. Mzee) Post Views: 8 Post navigation Previous: Uwanja mpya wa Geita Gold FC mbioni kukamilikaNext: Majaliwa asisitiza wabunge kushiriki michezo
RC mpy Shinyanga ataka elimu itolewe kwa wananchi kuacha kucheza kamali Jamhuri15 hours ago15 hours ago 0