JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Waziri Mabula asitisha vibali vya ujenzi vituo vya mafuta

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula amesitisha utoaji wa vibali vipya vya ujenzi wa vituo vya mafuta na mabadiliko ya matumizi ya ardhi kwa ajili ya ujenzi wa vituo hivyo kwa muda wa miezi mitatu…

Waziri Mkuu akagua kazi ya kufufua na kusafisha visima vya maji Dar

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa usambazaji maji kwa wananchi na kuagiza zoezi hilo pamoja na uchimbaji wa visima katika maeneo mbalimbali liwe endelevu. Majaliwa amekagua visima katika eneo la Tabata…

Nape:Serikali ipo tayari kupeleka mabadiliko ya sheria ya habari Bunge lijalo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali ipo tayari kupeleka mabadiliko ya sheria ya habari bungeni baada ya kikao cha mwisho kukubaliana baadhi ya mapendekezo hayo. Akizungumza na uongozi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) na Wadau wa Haki ya Kupata Habari (CoRI),…

Mwasa:Tangu enzi za Baba wa Taifa mila zilitumika kuomba mvua

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Fatma Mwasa ameiagiza Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira MORUWASA,kujenga uzio katika bwawa la Mindu lililopo Manispaa ya Morogoro, ili kudhibiti shughuli za kibinadamu zinazoendelea kufanyika kando mwa bwawa hilo ikiwemo kilimo. Mkuu…

Bil.20/- kulipa watumishi walioondolewa kazini kwa kughushi vyeti

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF),unatarajia kutumia kiasi cha shilingi bilioni 20 kuwalipa watumishi wa Umma waliondolewa kazini kwa kosa la kughushi vyeti Hayo yameelezwa leo Novemba 9,2022 jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa…

RC Dendego aikumbusha EWURA kusimamia maslahi ya wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Iringa Mkuu wa wa Mkoa wa Iringa Halima Dendego ameielekeza Menejimenti ya EWURA kushugulikia maslahi ya Wafanyakazi kwa wakati ili kuondoa malalamiko yanayoweza kujitokeza sehemu za kazi kwa lengo la kuimarisha utendaji na ufanisi wa utendaji. RC…