JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Dkt. Kiruswa asuluhisha mgogoro kati ya mwekezaji na wana Butiama

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amefungua Kikao cha kutatua mgogoro baina ya mwekezaji mgodi wa Cata Mining na jamii inayozunguka mgodi huo baada ya malalamiko kuhusu ulipwaji wa fidia kwa wananchi waliyopisha eneo la uwekezaji. Mgodi wa Cata…

Mkulima mbaroni kwa tuhuma za kushusha hadhi ya Rais Samia na Msataafu Kikwete kupitia TikTok

Mwanamme mmoja mkazi wa Kidete mkoani Morogoro anayejishughulisha na kilimo,Piniston Nzali (20) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kujibu mashtaka matatu ya kuchapisha mtandaoni taarifa yenye kuharibu hadhi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Wabunge wakoshwa na mchakato wa mapendekezo ya sheria ya habari

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri WADAU wa Haki ya Kupata Habari nchini (CoRI), wamekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya wabunge, kwa lengo la kuongeza ufahamu kuhusu mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya habari. Kikao hicho kimefanyika jijini Dodoma tarehe 10…

TMA: Mvua kubwa kuanza kunyesha kesho

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kunyesha kwa mvua kubwa kuanzia kesho Novemba 11 katika maeneo mbalimbali nchini. TMA imesema mvua kubwa zinatarajiwa kunyesha kwa muda wa siku tatu kwenye mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Mara, Shinyanga, Tabora,…

Tanzania tishio wagonjwa wengi wa sikoseli, ya tano Duniani na ya tatu Afrika

Takwimu zinaonesha kuwa watoto takribani elfu Kumi na Moja huzaliwa na ugonjwa wa Sikoseli kila mwaka nchini Tanzania hali ambayo imekuwa tishio kwa Taifa la baadae. Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa huduma za Tiba Prof. Paschal Ruggajo wakati wa…

Serikali yawapongeza wabunge kuwa msitari wa mbele elimu ya malezi kwa watoto hatua za awali

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maaalum imewapongeza Wabunge kwa utayari wao na kuwa mstari wa Mbele katika suala la Elimu ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto. Akifungua Semina kwa Wabunge kwa…