JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali:Uchunguzi ajali ya ndege kukamilika ndani ya mwaka mmoja

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imetoa maelekezo kwa wataalamu wa ndani ya nchi kushirikiana na wataalamu kutoka nje ya nchi kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini chanzo cha ajali ya ndege iliyotokea Bukoba. Taarifa hiyo imetolewa leo Novemba 14,2022 jijini Dodoma…

Wanaotupa taka hovyo sasa kuanza kuzomewa Dar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amesema licha ya uwepo wa sheria na kanuni za kuwadhibiti wachafuzi wa mazingira hususani wanaotupa taka hovyo ni vyema pia ikaenda sambamba na kuwazomea kama sehemu ya kuwafanya…

Wizara yaanzisha kitengo maalumu cha kuokoa maisha waliopata ya ajali

Na Englibert Kayombo,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Afya imeendelea kuboresha mikakati ya kuokoa maisha ya watu kutokana na majanga na ajali kwa kuanzisha Kitengo mahsusi kitakachoshughulika na kuokoa maisha ya watu kutokana na ajali. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu…

EWURA yazishauri Mamlaka za Maji kutoa taarifa sahihi za huduma

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ( EWURA), Mhandisi Modestus Lumato, amezitaka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini kuhakikisha zinatoa taarifa sahihi za huduma ya maji na usafi wa…

TCRA yawafungulia milango vijana wabunifu katika TEHAMA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),kwa kushirikiana na taasisi zingine imeboresha mazingira rafiki kwa vijana wabunifu wa TEHAMA ili kuwarahisishia kutengeneza fursa za kukuza ubunifu na kujitengenezea ajira. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt.Jabir Bakari amesema Serikali imeweka mfumo…

Askari wapata mafunzo ya kudhibiti wanyamapori wakali

ASKARI wanyamapori wa vijiji (VGS)37,wamehitimu mafunzo maalum ya kozi namba 18/2022 katika chuo cha mafunzo ya Uhifadhi Maliasili kwa Jamii Likuyusekamaganga wilaya ya Namtumbo mkoni Ruvuma. Akitoa taarifa ya mafunzo hayo,mkuu wa chuo hicho Jane Nyau alisema,askari hao wamepata mafunzo…