JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Bodi ya TANESCO yafurahishwa na kupongeza maendeleo ya mradi wa Julius Nyerere

Na Charles Kombe, JamhuriMedia, Rufiji Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imefurahishwa na kupongeza wasimamizi wa mradi juu ya hatua za ujenzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP). Hayo yamebainishwa na Makamu…

INEC yawataka watendaji wa uboreshaji Daftari la Kudumu la Mpiga Kura kutunza vifaa

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Kigoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetaka watendaji wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Mkoani Kigoma kuhakikisha wanatunza vifaa vya uandikishaji ili vikaweze kutumika maeneo mengine nchini. Hayo yamesemwa na…

Wazazi watakiwa kusimamia malezi bora kwa vijana kundi rika na watoto

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Sal Wazazi , viongozi wa dini na wale wa kimila pamoja na wadau mbalimbali nchini wametakiwa ,kusimamia malezi ya vijana na watoto wa wa kike na kiume ili waweze kuwa na maadili bora ….

Mangungu ateua mjumbe wa bodi ya wakurugenzi

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Ally Mangungu amemteua, Dr. Kailima Ramadhani Kombwey kuwa mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba Sports Club Company Limited. Taarifa ya Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo imebainisha kuwa Dkt. Kailima ataungana…

Maandalizi Maonesho ya Sabasaba yafikia asilimia 79

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imesema maandalizi ya maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (DITF) maarufu kama ‘Sabasaba’ yamekamilika kwa asilimia 79. Aidha imesema kuwa maonesho ya mwaka huu yatakuwa…