JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Jiji la Makonda mshindi wa tatu utoaji taarifa kwa umma

Mkoa wa Arusha umekuwa mshindi wa tatu kwa Vitengo vya Mawasiliano Serikalini vinavyofanya vizuri katika utoaji wa taarifa kwa umma miongoni mwa mikoa 26 ya Tanzania Bara kwa mwaka 2023/2024. Tuzo hizo zilitangazwa na Mkurugenzi wa Habari Maelezo na Msemaji…

Kamati ya Siasa Nkasi yampa tano DC Lijualikali

Na Israel Mwaisaka, JakhuriMedia, Nkasi Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Nkasi imempongeza mkuu wa Wilaya Nkasi Peter Lijualikali lwa namna anavyosimamia utekelezaji wa ilani ya CCM . Pongezi hizo zimetolewa jana na Mwenyekiti wa CCM…

Nape awaomba wadau wa habari wamuamini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaomba wadau wa sekta ya habari kuwa na imani naye kuhusu vifungu 12 vinavyolalamikiwa katika Sheria ya Huduma ya Habari ya mwaka 2016….

‘Ushiriki wa pamoja utapunguza biashara haramu ya viumbe pori’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Imeelezwa kuwa uwepo wa biashara haramu ya viumbe pori una athari mbalimbali katika maeneo ya kiuchumi, kijamii na kimazingira. Hayo yamebainishwa Mkuu wa Kitengo cha Sera na Usimamizi mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili,…

RC Chalamila : Siwaogopi waganga wa kienyeji, nitawasafisha Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dk Albert Chalamila amesema hivi karibu wataanza oparesheni maalum inayolenga waganga wa kienyeji wanaofanya ramli chonganishi. Amesema hayo leo Dar es Salaam wakati wa kilele cha…