Category: Habari Mpya
UJUMBE WA KWARESMA – (3) ‘Tunawasihi kwa jina lake Yesu Kristo, mpatanishwe na Mungu’
Mafundisho ya Mt. Yohane Paulo II (Papa) 19. Mt. Yohane Paulo II (Papa) aliona umuhimu wa upatanisho kwa Kanisa na kwa ulimwengu mzima. Papa aliona upatanisho kama njia ya kuuponya ulimwengu uliovunjika kutokana na mgawanyiko katika uhusiano kati ya watu binafsi na…
Ubalozi Marekani watuhumiwa
NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam unatuhumiwa kumpunja mjane mafao yaliyotokana na kifo cha mumewe. Mjane huyo, Salome Leguna, ameushitaki ubalozi huo kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…
Huyu ndiye Rais Samia
*Anaendeleza ujenzi wa miradi mikubwa *Anaimarisha diplomasia ya uchumi *Anaboresha utawala bora, demokrasia DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza mwaka mmoja tangu aapishwe Machi 19, mwaka jana na kuanza kuongoza nchi baada ya kifo cha…
Usiyapoteze machozi yako
Na Padri Dk. Faustin Kamugisha Ukimpiga mbwa viboko vitano na binadamu viboko vitano, binadamu anaumia sana kuzidi mbwa kwa sababu binadamu analeta mateso aliyoyapata wakati huu, na aliyoyapata zamani na atakayoyapata; anaumia sana. Anatoa machozi. Msemo wa kuwa ‘wafalme hawalii’…
Vita ya Ukraine ni neema kwa kampuni za mafuta
Na Nizar K Visram Baada ya Urusi kuishambulia Ukraine, Marekani na Umoja wa Ulaya (EU) wakatangaza vikwazo dhidi ya Urusi, lengo likiwa ni kuibana isiweze kuuza bidhaa zake kama mafuta na gesi katika soko la Ulaya na kwingineko. Urusi ni…
Hongera Rais Samia Suluhu Hassan
Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza mwaka mmoja tangu alipoapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kifo cha Dk. John Magufuli. Taifa, kama familia, linapoondokewa na kiongozi mkubwa kwa kawaida huibuka shaka na sintofahamu miongoni mwa wananchi….




