JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Serikali mpya ya muungano ya Afrika Kusini yatangazwa

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametangaza serikali mpya ya mseto, baada ya chama chake tawala cha African National Congress (ANC) kupoteza wingi wa wabunge katika uchaguzi wa mwezi Mei. Alisema “serikali ya umoja wa kitaifa… haijawahi kutokea katika historia…

Ruto: Sina hatia na vifo vya waandamanaji

Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa “hana hatia” na vifo vya waandamanaji vilivyotokea mapema wiki iliyopita katika maandamano ya kuipinga serikali yake. Ruto ametoa kauli hiyo wakati mamia ya watu wakikusanyika jana katika mji mkuu wa Nairobi kuwakumbuka watu…

Barabara zinazoelekea Ikulu ya Rais Kenya zawekwa vizuizi vya kiusalama

Kundi la vitengo kadhaa vya usalama vimetumwa katika maeneo mbalimbali ya jiji la Nairobi ili kusubiri maandamano ya vijana yanayopangwa kufanyika siku ya Alhamisi. Waandamanaji hao wameapa kuandaa maandamano ya kuelekea ikulu ya rais ikiwa ndio kilele cha maandamano ya…

Marekani yamfunga miaka 45 jela rais wa zamani wa Honduras

Mahakama mjini New York imemhukumu rais wa zamani wa Honduras kifungo cha miaka 45 jela kwa makosa ya ulanguzi wa dawa za kulevya. Juan Orlando Hernandez alihukumiwa Jumatano kwa kuyasaidia makundi ya wauzaji wa dawa za kulevya kuingiza nchini Marekani…

Ruto asikiliza kilio cha Wakenya, asisitiza kubana matumizi

Kenya inashusha pumzi baada ya Mswada wa Fedha wa 2024 uliozua utata kutupiliwa mbali. Rais William Ruto hatimae ametangaza kusikiliza kilio cha wakenya walioupinga mswada huo kwa nguvu zote. Akilihutubia taifa kwa mara ya pili tangu maandamano kulitikisa taifa kwa…

Waandamanaji Kenya waapa kurudi tena barabarani

Wandamanaji nchini Kenya wameapa kuendelea na maandamano yao kupinga nyongeza mpya za ushuru, siku moja tu baada ya polisi kufyatua risasi na kuwaua takriban watu watano. Watu wengine zaidi ya 100 walijeruhiwa pia walipovamia majengo ya bunge. Katibu Mkuu wa…