JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Makamu Rais afanya mazungumzo na balozi wa Singapore

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Mpango leo tarehe 30 Agosti 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Singapore nchini Tanzania Douglas Foo, Mazungumzo yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma. Katika Mazungumzo hayo, Makamu wa Rais…

Majaliwa:Tanzania yawasilisha miradi nane TICAD

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania imewasilisha miradi minane yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.334 katika Mkutano wa Nane wa Kimataifa wa Wakuu wa Nchi na Serikali unaohusu ushirikiano wa Maendeleo baina ya Japan na Afrika…

Mkutano wa nane wa wakuu wa nchi na Serikali wa TICAD

Mkutano wa 8 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa kuhusu Maendeleo ya Japan na Afrika (Tokyo International Conference on African Development – TICAD 8 Summit) umeanza kufanyika leo tarehe 27 Agosti 2022 mjini Tunis, Tunisia. Hii ni mara…