Category: MCHANGANYIKO
Ubovu viwanja vya soka usifumbiwe macho
Ligi kuu ya sokaTanzania Bara inaendelea katika viwanja mbalimbali hapa nchini. Hii ndiyo ligi kubwa hapa nchini ambayo imekuwa ikifuatiliwa na wapenzi pamoja na wadau mbalimbali wa soka nje na ndani ya nchi.
Michezo inapozidi kupoteza mwelekeo
Miongoni mwa vitu vinavyowavutia wapenzi wa michezo ni kuona nchi inasonga mbele kimichezo, kwa kufanya vizuri hadi ngazi ya kimataifa.
Kisa cha Ashanti United kushika mkia Ligi Kuu
Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara maarufu kama Ligi ya Vodacom, inazidi kushika kasi. Moja na vitu ambavyo vimeongeza chachu katika ligi ya msimu huu ni jinsi baadhi ya timu zilizopanda msimu huu zinavyoleta upinzani kwa vigogo wa soka hapa nchini.
Rais Kikwete usikubali waziri huyu kuchafua jina lako
Tanzania ni nchi inayoheshimika sana kimataifa. Inaheshimika kwa kuwa moja ya nchi chache duniani zilizokubali kuendesha mambo yake kwa uwazi. Imetia saini mkataba wa Open Government Initiative (Serikali ya Uwazi) uliohasisiwa na Rais Barack Obama wa Marekani. Si hilo tu, Rais Jakaya Kikwete amekuwa kiogozi wa kwanza kusikia kilio cha Watanzania juu ya Katiba mpya.
Ujenzi wasimama uwanja wa Kombe la Dunia
Kazi ya ujenzi katika uwanja utakaotumika kwa mashindano ya soko Kombe la Dunia mwaka 2014 nchini Brazil, zimesimamishwa baada ya Jaji wa Mahakama kuhofia usalama.
Dola ikomeshe vibaka kwenye daladala
Tatizo la vibaka limeendelea kuota mizizi katika daladala za abiria, hasa jijini Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanaotumia usafiri huo wa umma wamekuwa wakiibiwa fedha na simu za kiganjani kila kukicha!