JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ujenzi wasimama uwanja wa Kombe la Dunia

Kazi ya ujenzi katika uwanja utakaotumika kwa mashindano ya soko Kombe la Dunia mwaka 2014 nchini Brazil, zimesimamishwa baada ya Jaji wa Mahakama kuhofia usalama.

Dola ikomeshe vibaka kwenye daladala

Tatizo la vibaka limeendelea kuota mizizi katika daladala za abiria, hasa jijini Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanaotumia usafiri huo wa umma wamekuwa wakiibiwa fedha na simu za kiganjani kila kukicha!

Mungu awe nayi wana JAMHURI

Nawapongeza kwa ujasiri mlioamua kuuvaa katika harakati bila shaka ni lengo lenu ni kuona Mtanzania ananufaika na maliasiri tulizojliwa na Mungu.

Chonde chonje wavuta sigara

Mhariri,

Ninajitokeza kutumia fursa hii kutoa wito kwa watu wote wanaovuta sigara kuacha kasumba mbaya ya kuvuta sigara katika msongamano wa watu, kwa sababu vitendo hivyo vina athari kubwa zaidi za kiafya kwa wasiotumia bidhaa hiyo.

KAULI ZA WASOMAJI

Itakuaje magaidi wakituingilia?

Habari sahihi zina nguvu kuliko bunduki

 

Kwa muda wa miaka kadhaa sasa, nimekuwa kwenye harakati za kuhakikisha nchi yetu inatambua uhuru wa vyombo vya habari, haki ya kupata habari na uhuru wa kutoa mawazo. Harakati hizi zimenifikisha hatua ya kufahamu kwa kina umuhimu wa habari na hasa habari sahihi.