Category: MCHANGANYIKO
Hatuiaibishi Mahakama bali tunaijengea uwezo
Wiki iliyopita Jaji Kiongozi, Fakihi Jundu, ametoa taarifa ndefu kwa vyombo vya habari akilishambulia Gazeti la JAMHURI. Mashambulizi ya Jaji Kiongozi yalijielekeza katika msingi kwamba JAMHURI imekuwa ikifuatilia kazi za Mahakama, tena si kwa uzuri bali kwa kutafuta mabaya yanayofanywa ndani ya Idara hiyo.
Messi alipa faini ya kukwepa kodi
Nyota wa timu ya soka ya Barcelona na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi pamoja na baba yake mzazi wamelipa euro milioni tano, sawa na dola milioni 6.6 za Marekani, baada ya kubainika na kosa la kukwepa kodi. Messi na mzazi wake huyo walidaiwa kukwepa kulipa kodi hiyo ya serikali kwa njia za ujanjaujanja.
Golikipa mwanamke ashinda tuzo Ujerumani
Golikipa wa Timu ya Taifa ya Wanawake ya Ujerumani, Nadine Angerer, ameshinda tuzo ya mwanamke bora mcheza soka barani Ulaya.
Vitisho vya Mahakama kwa gazeti Jamhuri
Septemba 3, mwaka huu, Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Fakihi Jundu, aliitisha mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam na kutoa taarifa ifuatayo:
TAARIFA YA MAHAKAMA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HABARI ILIYOANDIKWA NA GAZETI LA JAMHURI; LIKIWATUHUMU WAH; MAJAJI NA MAHAKIMU KUWALINDA WAFANYABIASHARA WA DAWA ZA KULEVYA
Hivi karibuni imekuwa ni kawaida kusikia Majaji, Mahakimu au kesi mbalimbali zilizo mahakamani zikiendelea kusikilizwa, au maamuzi fulani yaliyotolewa na mahakama kulalamikiwa katika vyombo vya habari, na hatimaye watoe maamuzi husika au wasikilizaji wa kesi husika, ambazo nyingine huwa bado zinaendelea mahakamani kudhalilika na kuhukumika, na wakati mwingine, ushahidi kuharibika au kumshawishi Jaji au hakimu kutoa maamuzi kwa kufuata maoni ya magazeti, na ilhali maadili ya kazi za ujaji hayatoi mamlaka kwa walalamikiwa kujibu kwa kukanusha shutuma zilizo mbele yao kwa njia ya vyombo vya habari.
Extra Bongo yajivunia mafanikio
Bendi ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ya jijini Dar es Salaam, imesema kuwa inajivunia mafanikio ambayo imekuwa ikiyapata tangu kuanzishwa kwake.
Arsenal, Man City kibarua kigumu UEFA
Hali inaonesha kuwa timu za Arsenal na Manchester City huenda zikapata wakati mgumu kufuzu katika michuano ya hatua ya makundi ya Klabu Bingwa barani Ulaya (UEFA) kutokana na muundo wa makundi yanayozijumuisha timu hizo.
- TIRDO yabuni dawa ya asili ya kuchakata ngozi, yaokoa afya na mazingira
- JKT yaibuka kinara Sabasaba, yatwaa tuzo ya bidhaa za kilimo na uvuvi
- Rais Chapo afungua Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, jijini Dar es Salaam
- Rais wa Msumbiji, Daniel Francisco Chapo awasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
- Wizara ya Nishati yawahamasisha watoto kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
Habari mpya
- TIRDO yabuni dawa ya asili ya kuchakata ngozi, yaokoa afya na mazingira
- JKT yaibuka kinara Sabasaba, yatwaa tuzo ya bidhaa za kilimo na uvuvi
- Rais Chapo afungua Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, jijini Dar es Salaam
- Rais wa Msumbiji, Daniel Francisco Chapo awasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
- Wizara ya Nishati yawahamasisha watoto kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
- Salome : Wananchi wanaopitiwa na miundombinu ya umeme waunganishwe huduma kwa sh 27,000
- Mchecu: Masoko ya mitaji kufungua fursa za uchumi
- Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi Hospitali ya Butiama Kizurira Nyerere
- Tanzania ipo tayari kuelekea AFCON 2027
- JET highlights critical role of CSOs in combating desrtification ahead of UNCCD COP17
- Tanzanite yang’aa Sabasaba wananchi wavutiwa na upekee wake
- WRRB, Misri wajadili ushirikiano wa kibiashara kupitia mfumo wa stakabadhi ghala
- Waziri Sangu : Taasisi za dini ni nguzo ya amani, malezi bora
- Tanzania kung’ara kimataifa mkutano wa COP 12
- Prof. Shemdoe amshukuru Rais Samia na Barrick kupeleka tabasamu shuleni