JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Madee – Nidhamu siri ya mafanikio

Msanii maarufu wa wa muziki nchini, Hamad Ally, maarufu kama  ‘Madee’  (pichani) kutoka katika kundi la Tip Top Connection la Manzese, jijini Dar es Salaam,  amesema kuwa siri ya mafanikio yake katika muziki ni nidhamu.

Mechi klabu bingwa Ulaya kuendelea leo

Wapenzi wa kandanda la Ulaya leo watakuwa na wakati mzuri wa kushuhudia mechi kadhaa za michuano ya soka klabu Bingwa barani Ulaya zikichezwa katika viwanja mbalimbali barani humo.

Ubovu viwanja vya soka usifumbiwe macho

Ligi kuu ya sokaTanzania Bara inaendelea katika viwanja mbalimbali hapa nchini. Hii ndiyo ligi kubwa hapa nchini ambayo imekuwa ikifuatiliwa na wapenzi pamoja na wadau mbalimbali wa soka nje na ndani ya nchi.

Michezo inapozidi kupoteza mwelekeo

Miongoni mwa vitu vinavyowavutia wapenzi wa michezo ni kuona nchi inasonga mbele kimichezo, kwa kufanya vizuri hadi ngazi ya kimataifa.

Kisa cha Ashanti United kushika mkia Ligi Kuu

Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara maarufu kama Ligi ya Vodacom, inazidi kushika kasi. Moja na vitu ambavyo vimeongeza chachu katika ligi ya msimu huu ni jinsi baadhi ya timu zilizopanda msimu huu zinavyoleta upinzani kwa vigogo wa soka hapa nchini.

Rais Kikwete usikubali waziri huyu kuchafua jina lako

Tanzania ni nchi inayoheshimika sana kimataifa. Inaheshimika kwa kuwa moja ya nchi chache duniani zilizokubali kuendesha mambo yake kwa uwazi. Imetia saini mkataba wa Open Government Initiative (Serikali ya Uwazi) uliohasisiwa na Rais Barack Obama wa Marekani. Si hilo tu, Rais Jakaya Kikwete amekuwa kiogozi wa kwanza kusikia kilio cha Watanzania juu ya Katiba mpya.