Category: MCHANGANYIKO
Ujenzi wasimama uwanja wa Kombe la Dunia
Kazi ya ujenzi katika uwanja utakaotumika kwa mashindano ya soko Kombe la Dunia mwaka 2014 nchini Brazil, zimesimamishwa baada ya Jaji wa Mahakama kuhofia usalama.
Dola ikomeshe vibaka kwenye daladala
Tatizo la vibaka limeendelea kuota mizizi katika daladala za abiria, hasa jijini Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanaotumia usafiri huo wa umma wamekuwa wakiibiwa fedha na simu za kiganjani kila kukicha!
Mungu awe nayi wana JAMHURI
Chonde chonje wavuta sigara
Mhariri,
Ninajitokeza kutumia fursa hii kutoa wito kwa watu wote wanaovuta sigara kuacha kasumba mbaya ya kuvuta sigara katika msongamano wa watu, kwa sababu vitendo hivyo vina athari kubwa zaidi za kiafya kwa wasiotumia bidhaa hiyo.
Habari sahihi zina nguvu kuliko bunduki
Kwa muda wa miaka kadhaa sasa, nimekuwa kwenye harakati za kuhakikisha nchi yetu inatambua uhuru wa vyombo vya habari, haki ya kupata habari na uhuru wa kutoa mawazo. Harakati hizi zimenifikisha hatua ya kufahamu kwa kina umuhimu wa habari na hasa habari sahihi.
Habari mpya
- NMB yahimiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara
- Mkuranga watakiwa kulinda miundombinu ya gesi asilia
- Wananchi wafurahishwa na elimu ya PBP Maonesho ya Utamaduni
- NMB, Bunge wachochea hamasa ya AFCON 2027
- Puma Energy Tanzania yapongwezwa kwa huduma na gawio kwa Serikali
- CMT yawataka wawekezaji kutumia baraza kutatua migogoro kwa haraka
- NEEC yawataka wananchi Kahama kuchangamkia fursa za kituo cha Mwendakulima
- Mfumo wa PBPA waleta unafuu wa mafuta nchini
- Msajili wa Hazina ataka mageuzi makubwa TBC
- Bodi ya REB yaridhishwa na usambazaji umeme kisiwani Jibondo
- TBS Yateketeza Tani 3.4 za Unga wa Mahindi usiokidhi viwango
- NMB, Bunge kuwakutanisha zaidi ya 1,000 michezoni Dodoma
- TPLB yatangaza tarehe ya kuanza kwa msimu wa NBC Premier League 2026/2027
- Ushirikiano wa NHIF na ZHSF wavutia Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi
- GCLA endeleeni kuwajengea uwezo wadau wa tiba asilia