Category: MCHANGANYIKO
Waziri wa elimu apongeza mchango wa Green Acres
…Asema kwa miaka 25 imekuwa kielelezo cha elimu bora Na Mwandishi Wetu SHULE za Green Acres zimeanzisha utaratibu wa kusomesha watoto 15 wasiojiweza kila mwaka kama mkakati wa kurejesha faida kwa jamii. Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es…
Anna Makinda ataka takwimu zitumike kuratibu huduma kwa wazee nchini
Na WMJJWM- Shinyanga Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda amesema takwimu ni muhimu katika uratibu na utoajia wa huduma kwa wazee nchini. Makinda amesema hayo tarehe 14 June 2025, mkoani Shinyanga wakati akiwasilisha…