JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yasisitiza ushirikiano kutekeleza programu ya kizazi chenye usawa

Na WMJJWM – Morogoro Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felista Mdemu amesema dhamira ya Serikali ya kuhakikisha ahadi zilizotolewa na Tanzania kwenye Jukwaa la Kizazi Chenye Usawa la mwaka 2021 zinafanikishwa,…

Bashe aomba mkoa mpya

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Nzega Mgombea ubunge Jimbo la Nzega Mjini Hussein Bashe, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuzingatia ombi la muda mrefu la kuugawa Mkoa wa Tabora. Amesema hatua hiyo inatokana na wananchi wake kutembea umbali wa kilomita…

Dk Biteko ahimiza kura za kutosha Busonzo

📌 Wananchi wa Busonzo wanufaika na miradi ya uhakika ya umeme, maji, elimu 📌 CCM yaahidi maendeleo Busonzo Mgombea wa Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amewahimiza wananchi wa Kata ya Busonzo wilayani Bukombe mkoani Geita kujitokeza kwa…

Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Jumuiya ya Maridhiano na amani Katavi

MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Jumuiya ya Mariadhiano na Amani Tanzania Mkoa wa Katavi…

Rvuma yaombea amani kuelekea uchaguzi mkuu

Na Cresensia Kapinga, Jamuhuri ,Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, amewaongoza viongozi Wadini, Chama na Serikali,wazee na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma katika maombi maalum ya kuliombea Taifa la Tanzania amani kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa…