JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dc Mpogolo atoa agizo kukamatwa waliofanya mauaji Buyuni

Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo ,ametoa agizo kwa Jeshi la Polisi kupitia Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, ACP Yustino Mgonja kutumia utaalamu na timu yake kuwakamata mara moja kundi…

TMA : Mvua kubwa yaathiri miundombinu ya SGR, kuendelea kunyesha kwa mikoa 20

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inapenda kutoa taarifa ya mwenendo wa Mvua Kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Mnamo tarehe 26 hadi 27 Desemba, 2025 Mamlaka iliendelea kutoa Tahadhari ya vipindi vya Mvua Kubwa katika maeneo…

Simbachawene : Mabadiliko makubwa kuligusa Jeshi la Polisi

*Taratibu za ukamataji mtuhumiwa kurekebishwa Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameweka wazi maelekezo aliyoagizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yanaenda kugusa Jeshi la Polisi…

‘Kituo cha kupoza umeme Handeni kuleta mapinduzi ya uwekezaji’

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese, ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha kupooza umeme (substation) cha Handeni mkoani Tanga, unaolenga kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa wakazi na wawekezaji wa wilaya hiyo….