Category: MCHANGANYIKO
RC Pwani atoa onyo matumizi mabaya ya fedha za lishe
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameziagiza wilaya na halmashauri mkoani humo kuhakikisha zinadhibiti matumizi batili ya fedha za mpango wa lishe na badala yake zitumike kwa matumizi yaliyokusudiwa. Aidha, amezitaka mamlaka hizo kutoa fedha hizo kwa wakati na…
Ujenzi wa Kampasi ya UDOM Njombe waanza kwa kasi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ukiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Lughano Kusiluka, leo Jumanne Septemba 09, 2025, umetembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Kampasi ya UDOM mkoani Njombe. Katika ziara…
Kongamano la Kitaifa la ufuatiliaji, na tathmini kukutanisha washiriki 1000
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza WASHIRIKI takribani 1,000, wanatarajiwa kushiriki katika kongamano la nne la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza(Tanzania Monitoring, Evaluation and Learning Week). Kongamano hilo litawakutanisha wadau mbalimbali wa maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi, wakiwemo…
Kumchagua Rais Samia ni kuchagua maendeleo – Dk Biteko
📌Awahimiza wananchi wa Namonge kujitokeza kupiga kura Oktoba 29 📌 Asema shilingi bilioni 200 kukopeshwa kwa vijana Mgombea wa Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amewaasa wananchi wa Kata ya Namonge, kujitokeza kwa wingi tarehe 29 Oktoba kumpigia…
Rais Samia aahidi kujenga Chuo cha ufundi Stadi Manyoni
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media,Manyoni Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kama atapewa ridhaa ya kuwa Rais wa Tanzania kwa awamu nyingine atajenga Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) wilayani Manyoni. Rais Samia ameitoa leo Septemba 9,2025…
Rais Samia: Bahi kupata maji ya Ziwa Victoria
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Bahi Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amesema serikali imejipanga kufikisha maji kutoka Ziwa Victoria hadi Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma. Amesema hatua hiyo itasaidia kumaliza tatizo la maji yenye chumvi linalowakabili…





