Wanyama albino wazua gumzo

*Pundamilia, nyati, twiga albino waonekana Tarangire, Katavi *Wananchi wafurahi, wadhani ni kivutio kipya cha utalii *Wataalamu wapinga, wadai kuna tatizo kubwa na la hatari MARA Na Anthony Mayunga Nyati mweupe ameonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire na kuwa kivutio kwa wengi, wakidhani kuwa ni aina mpya ya wanyama inayopatikana eneo hilo pekee. JAMHURI…

Read More

NATO: Chombo cha Marekani, kutekeleza sera zake duniani

Na Nizar K Visram NATO ni muungano wa kijeshi wa mataifa ya Ulaya na Marekani ulioundwa kwa madhumuni ya kulindana iwapo taifa moja litashambuliwa kutoka nje. Uliasisiwa chini ya mkataba wa Washington uliosainiwa na mataifa 12 Aprili 1949. Mataifa yenyewe ni Ubelgiji, Canada, Ufaransa, Iceland, Italy, Luxembourg, Uholanzi, Norway na Ureno. Kifungu cha tano cha…

Read More