JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

CHAUMA :Kususia uchaguzi ni kukwamisha maendeleo

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimewataka wananchi kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu na kufichua kuwa kususia uchaguzi ni kukwamisha maendeleo. Rai hiyo imetolewa jana na Katibu Mkuu wa…

Oktoba tunatiki kwa Rais Dk Samia – Wasira

*Ataja sababu za ‘Oktoba Tunatiki’ kwa Dk. Samia, Dk. Nchimbi*Asema kaulimbiu ‘No Reform No Election’ inaelekea mwisho*Asema Watanzania hawana historia wala sababu Wakristo, Waislamu kugombana*Awahakikishia wananchi uchaguzi uko pale pale, amani nchini uhakika Na Mwandishi Wetu, Tunduru MAKAMU Mwenyekiti wa…

ACT Wazalendo yaongeza muda uchukuaji fomu Bara

CHAMA cha ACT Wazalendo kimesogeza mbele hadi Juni 30, 2025 zoezi la uchukuaji na urejeshaji fomu za nafasi mbalimbali za Uchaguzi Mkuu Tanzania Bara. Taarifa ya chama hicho iliyotolewa na Naibu Katibu Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma,…

Antony achukua fomu kugombea Jimbo la Same Magharibi kupitia ACT -Wazalendo

Na Ashrack Miraji , Same Mwanasiasa kijana kutoka Kata ya Mhezi, Ndg. Anthony Ishika Mghamba, ambaye ni Naibu Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii WA Baraza Kivuli la ACT wazalendo amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa na chama cha ACT-Wazalendo…

Chadema sikio la kufa

*Ni kwa kupuuzwa ombi la Mbowe la kuundwa ‘kamati ya maridhiano’ *Makundi ya viongozi, wanachama waandamizi wadai chuki itaua chama *Wadau wajiuliza iwapo CHAUMMA itaweza kuhimili vishindo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Wahenga wanasema sikio la kufa halisikii dawa….

Dk Dimwa : Oktoba 2025 ndio mwisho wa ACT-Wazalendo Pemba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Pemba NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt.Mohamed Said Dimwa, amesema Chama hicho kimejipanga kuhakikisha kinashinda majimbo yote ya Pemba,kutokana na wananchi wa kisiwa hicho kukiri kuwa CCM imeisimamia vizuri Serikali yake katika kuwaletea…