Category: Siasa
Wananchi Wa Jumuiya Ya Afrika Mashariki Kuingia Kenya Kwa Kitambulisho Cha Taifa Tu
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza neema kwa wananchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kuruhusu kuingia nchini humo kwa kutumia kitambulisho cha taifa tu na kupewa haki zingine kama raia wa Kenya. Taarifa hiyo imetolewa leo na Rais Uhuru Kenyatta alipokuwa…
Samia Suluhu Amwakilisha Rais Magufuli Kenya
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta Mjini Nairobi nchini Kenya ambako anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe za…
Wagonjwa wahaha zahanati kufungwa
Baadhi ya wagonjwa wanahaha mjini hapa baada ya Serikali kupitia Idara ya Afya Mkoa wa Geita, kufunga Kituo cha Afya cha Msufini kilichopo Mtaa wa Msalala, Kata ya Kalangalala wilayani Geita. Uongozi wa kituo hicho umeagizwa kuomba upya usajili wa…
Ripoti iliyomng’oa Dk. Slaa yavuja
Ripoti ya utafiti iliyokabidhiwa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayomtaja Dk. Willibrod Slaa, kama mwanasiasa mwenye mvuto miongoni mwa wapinzani anayestahili kuwania urais kupitia Ukawa, hatimaye imepatikana; JAMHURI linathibitisha. Kutupwa kwa ripoti hiyo kunatajwa kuwa ndiyo chachu iliyomfanya…
Rais JK, Wazee watokwa jasho
Kikao cha Baraza la Ushauri la Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichokuwa kifanyike wiki iliyopita, kilishindikana baada ya kuchafuka kwa “hali ya hewa”. Hali ya mambo ilibadilika baada ya mpango wa Rais Jakaya Kikwete wa kuwatumia kama njia ya yeye kukwepa…
Wachina wabuni uhujumu uchumi mwingine
Kwa sasa kumetokea mchezo mchafu unaofanywa na raia wa China na Singapore walio hapa nchini. Mchezo huu umeshamiri baada ya baadhi ya Wachina wasio waaminifu kushiriki biashara ya pembe za ndovu. Wameanzisha utaratibu wa kusajili kampuni za kusafirisha samaki hai…