Category: Kitaifa
Waziri Kalemani atumia kivuli cha ‘maagizo kutoka juu’
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nishati, Medard Kalemani, ametajwa kutumia lugha ya kwamba kuna “maagizo kutoka juu” mara nyingi anapowapa maelekezo watendaji wa wizara yake kuhakikisha mambo yanapitishwa haraka, JAMHURI limeambiwa. JAMHURI limeelezwa kuwa kama si Katibu Mkuu wa Wizara…
Sekretarieti yavujisha mitihani ajira za TRA
DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Mitihani na majibu ya usaili wa walioomba ajira zilizotangazwa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) kwa ajili ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) vimevuja, JAMHURI linathibitisha. PSRS walitangaza ajira hizo Juni…
Sabaya aamua kufukua makaburi
ARUSHA Na Hyasinti Mchau Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya, amedai mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kwamba alikwenda kwenye duka la Shaahid Store kutekeleza maagizo ‘kutoka juu’. Akiongozwa na Wakili Mosses Mahuna wakati…
Vifo vya mabilioni vyatikisa
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Katika siku za hivi karibuni, sekta binafsi na jumuiya ya wafanyabiashara nchini imetikiswa na vifo vya mabilionea vilivyotokea ndani ya wiki moja. Vifo hivyo vinajitokeza kipindi ambacho serikali inaweka mazingira mazuri ya kodi kuvutia…
Adaiwa kuiba misalaba makaburini
KATAVI Na Walter Mguluchuma Polisi mkoani Katavi wanamshikilia mkazi wa Majengo mjini Mpanda, Mashaka Sokoni (28), kwa tuhuma za kukutwa na vipande 35 vya vyuma vya misalaba ya makaburi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Benjamin Kuzaga, amesema Sokoni amekamatwa…
TIC yaanika mafanikio ya uwekezaji
DARE SALAAM Na Aziza Nangwa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesema miradi mipya 235 yenye thamani ya mabilioni ya fedha imesajiliwa katika kipindi cha mwaka 2020/21. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Dk. Maduhu Kazi, anasema miradi…