Category: Kitaifa
CAG amchunguza Dk. Kigwangalla
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imeguswa na matumizi mabaya ya fedha za umma yanayodaiwa kufanywa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla, na kuna taarifa za uhakika kuwa imeanza kumchunguza. Pamoja na…
Mjue CDF Jenerali David Bugozi Waryoba Musuguri
Januari 4, 2020 Jenerali David Bugozi Waryoba Musuguri, alikuwa na hafla ya kutimiza umri wa miaka 100. Mamia ya watu walihudhuria sherehe hizo zilizofanyika nyumbani kwake Butiama mkoani Mara. Ufuatao ni wasifu mfupi wa Jenerali Musuguri uliosomwa siku ya kumbukizi…
Wafanyabiashara ‘wapewa’ kazi za Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza ‘limebinafsisha’ baadhi ya shughuli zake kwa taasisi binafsi kwa madai ya kukosa vitendea kazi sahihi. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI na kuthibitishwa na Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, Sophia Jongo, umebaini kuwa kazi…
Diwani aghushi hati ya kiwanja, alamba mkopo milioni 3.3/-
Diwani wa Viti Maalumu (Chadema), Jasimin Meena, anatuhumiwa kughushi nyaraka zilizomwezesha kujipatia mkopo wa Sh milioni 3.3 kutoka taasisi moja ya fedha ijulikanayo kwa jina la Heritage Financing, Tawi la Moshi. Kwa mujibu wa nyaraka ambazo JAMHURI linazo, diwani huyo…
TET, JWTZ wasambaza vitabu Dar
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa magari ambayo yatatumika kusafirisha vitabu vya kiada na kuvisambaza katika halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam chini ya mpango mpya uliobuniwa na kuzinduliwa hivi karibuni na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET). Akizungumza…
Hofu vyombo vya habari mitandaoni yatanda kuelekea Uchaguzi Mkuu
Wadau wa vyombo vya habari wameonyesha wasiwasi wao juu ya wingi wa vyombo vya habari vya mtandaoni visivyo na wahariri na kutoa tahadhari iwapo visipodhibitiwa vinaweza kusababisha makosa ya kimaadili katika Uchaguzi Mkuu ujayo na pengine kuwa chanzo cha uvunjifu…