JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Wafanyabiashara walikimbia Soko la Buguruni

Zaidi ya wafanyabiashara 500 katika Soko la Buguruni katika Manispaa ya Ilala wamelikimbia soko hilo kutokana na changamoto mbalimbali, ikiwemo kutokuwepo kwa usafiri wa uhakikika kwa wateja na miundombinu mibovu wakati wa mvua. Akizungumza na JAMHURI hivi karibuni, Katibu wa…

Tanzania yaungana na dunia kukabili corona

Tanzania imechukua hatua ya kusitisha safari za ndege za kimataifa kama sehemu ya jitihada zinazochukuliwa na nchi nyingi duniani kukabiliana na kuenea kwa kasi kwa virusi vya corona (COVID-19). Mashirika mbalimbali ya ndege ulimwenguni yamesitisha safari zao kwa lengo la…

Daktari bingwa aanzisha mtandao wa kuelimisha wazazi

Daktari bingwa wa watoto katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam, Rahim Damji, ameanzisha mtandao wa kutoa ushauri na elimu ya afya ambao umewasaidia wazazi wengi kuokoa maisha ya watoto wao. Akizungumza na JAMHURI hivi kaibuni, Dk. Damji, amesema…

Bodi ya Korosho yatakiwa kulipa 16m/-

Bodi ya Korosho imetakiwa kulipa haraka deni la Sh milioni 16 kwa Kijiji cha Kimanzichana Kaskazini, wilayani Mkuranga katika Mkoa wa Pwani baada ya kukodi ghala la kijiji hicho kwa ajili ya kuhifadhi pembejeo za korosho. Agizo hilo limetolewa hivi…

Barabara yawatesa wakazi Kisangara, Shighatini

· TARURA yasema mkandarasi yupo kazini · Mbunge asema bado mkandarasi hajapatikana · Mkandarasi agoma kuzungumza ARUSHA NA ZULFA MFINANGA Ubovu wa barabara inayounganisha Kata ya Shighatini na Ngujini wilayani Mwanga katika Mkoa wa Kilimanjaro umeendelea kuwa kero kwa wakazi wa maeneo hayo,…

Soko la Bidhaa lawanufaisha wakulima

Na Mwandishi Wetu Wakulima nchini wameanza kunufaika na kuwepo kwa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) ambalo lipo mahususi kusaidia masoko ya mazao yanapatikana kwa wakati sahihi na mauzo yanafanyika kwa ushindani stahiki. Na katika kuhakikisha kuwa faida za soko hilo…