JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Mwalimu atengeneza pombe maabara, yaua

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine watatu wamo katika hali mbaya baada ya kunywa pombe iliyotengenezwa na mwalimu wa somo la Kemia wa Shule ya Sekondari ya Chole. Miongoni mwa waliokunywa pombe hiyo ni Ramadhani Pakacha na Shaibu Pakacha, ndugu…

NHIF yawashtukia waliotaka kukwapua bil. 7/-

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wamefanikiwa kuwabaini wajanja waliokuwa wanataka kuuibia mfuko huo Sh bilioni 7.4 kupitia madai hewa. Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Mkurugenzi Mkuu…

Wateja wa mama lishe hatarini kupata saratani

Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira (NEMC) limewaonya watu wanaokuka chakula kwa mama lishe ambao wanatumia karatasi za plastiki kufunika vyakula vyao kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata ugonjwa wa saratani. Aidha, NEMC pia imetoa onyo kwa watu wanaopenda…

Waandishi bado waipinga sheria inayowadhibiti

Wadau wa habari nchini wameendelea kuipinga sheria inayomtambua mwandishi wa habari kuwa mtu ambaye amepata elimu ya stashahada. Wakizungumza katika mkutano ulioratibiwa na Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza (MPC) hivi karibuni, wadau hao walidai kuwa pamoja na…

TIC yafafanua uwekezaji kupungua

Shughuli za uwekezaji duniani zimedorora kwa kiasi kikubwa miaka ya hivi karibuni na hii imetajwa kuwa sababu kubwa ya kupungua kwa mitaji binafsi kutoka nje (FDI), ambako kumejitokeza nchini tangu mwaka 2015, wataalamu wa sekta hii muhimu katika uchumi wa…

Mabalozi SADC waunda umoja Qatar

Mabalozi wa nchi za SADC walioko Qatar wameunda umoja unaolenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kimaendeleo na taifa hilo tajiri la Mashariki ya Kati ambalo ni moja kati ya wazalishaji wakubwa wa gesi asilia duniani. Ikiwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya…