Category: Kitaifa
Ripoti yafichua ufisadi wa kutisha jumuiya ya watumia maji
MOSHI NA CHARLES NDAGULLA Ripoti ya ukaguzi maalumu uliofanywa na wakaguzi wanane kutoka Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro kwenye Jumuiya ya Watumiaji Maji ya Kirua Kahe (KKGWST), imefichua mambo ya ajabu, ukiwamo ufisadi na mkandarasi kulipwa…
Mwendokasi wakiri kuzidiwa
DAR ES SALAAM NA AZIZA NANGWA Kampuni inayoendesha mradi wa mabasi ya mwendokasi jijini Dar es Salaam, UDART, imekiri kuzidiwa wingi wa abiria kutokana na uchache wa mabasi inayoyamiliki. Kampuni hiyo imekiri kuwa msongamano wa abiria katika mabasi na abiria…
Serikali yataka sekta ya umma kushindanishwa tuzo za mwajiri bora
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Serikali imetoa mapendekezo ya kushirikishwa kwa taasisi za umma katika mashindano ya kumtafuta mwajiri bora wa mwaka kuanzia mwakani. Tangu mwaka 2015 Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), kimekuwa kikitoa tuzo kwa mwajiri bora kila…
Serikali yanadi maeneo yenye madini
DODOMA NA GREYSON MWASE Tume ya Madini imetangaza zabuni kwa watu wanaotaka kununua maeneo 10 yenye leseni hodhi za madini yenye ukubwa wa kilometa za mraba 381.89 katika maeneo ya Ngara — Kagera, Kahama – Shinyanga, Chunya – Mbeya, Bariadi…
Wakala wa Vipimo wafanya kazi na sekta binafsi
DAR ES SALAAM NA AZIZA NANGWA Wakala wa Vipimo nchini (WMA) umefanikiwa kusambaza huduma zake kwa watu wengi nchini na kuwa karibu zaidi ya sekta binafsi. Hayo yamebainishwa jijini Dar es Salaam hivi karibuni na Ofisa Mtendaji Mkuu wa WMA,…
Halotel kutumia bilioni 3.8/- usajili wa laini
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Kampuni ya simu za mkononi ya Halotel imesema changamoto kubwa kwake kibiashara mwaka huu imekuwa zoezi la kusajili laini kwa njia ya alama za vidole ambalo mpaka sasa hivi limeigharimu kampuni hiyo zaidi ya…


