JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Ofisi ya Msajili vyama vya siasa yakutana na ACT – Wazalendo

Kaimu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar ambaye pia na katibu wa Habari na Uenezi Chama cha ACT Wazalendo Salim Biman ameuongoza ujumbe wa chama hicho katika kikao cha pamoja kati ya ACT – Wazalendo na ujumbe wa Msajili wa Vyama vya…

Ukosefu wa dola ya Marekani waathiri bei ya mafuta nchini

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini Tanzania, EWURA, imetangaza bei mpya za mafuta ambazo zinaonesha, mafuta aina ya Petroli imepanda kwa shilingi 443 na dizeli ikipanda kwa shilingi 391 kwa kila lita moja kwa mafuta yanayouzwa…

Rais Samia ampokea Rais wa Hungary, Ikulu Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempokea Rais wa Hungary, Katalin Novak katika Ikulu ya Magogoni,Dar es Salaam leo Julai 18, 2023. Rais huyo amewasili jana usiku Julai 17, 2023 na kupokelewa na Waziri wa Mambo…